TANZIA Anayesadikiwa kuwa MwanaJF afariki dunia

Huyu mke anaweza kuwa hajui kuwa kwenye ulevi ndio kuna michongo!! Ona sasa amejisababishia ujane!!
 
Usingelisema mpare ningekuibukia kama mwewe!!
 
Yani kama ukilewa ukirudi kwako lazima uruke ukutaa achana na pombe tuu maana nyumba yako tu imekushinda kuicontrol...!! Mwanamke anapaswa kumfungulia mumewe mlango muda wowote...saa yoyotee
Riki nauchukia ulevi pia hata hao wanawake huvumilia mengi....pia nao ni binadamu wana nyongo.....

Huwa na kunywa sizidishi kiwango pia kuepuka kampan za ajab ajab.....pombe sio shetani shetani ni mtu mwenyewe....
 
Riki nauchukia ulevi pia hata hao wanawake huvumilia mengi....pia nao ni binadamu wana nyongo.....

Huwa na kunywa sizidishi kiwango pia kuepuka kampan za ajab ajab.....pombe sio shetani shetani ni mtu mwenyewe....
Kweli mkuu me hapa naongelea mtu anarudi saa 4 saa 5 usiku yani kweli aruke ukutaa...??? Ndo kuvumiliana kwenye raha na shidaa mkuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kweli mkuu me hapa naongelea mtu anarudi saa 4 saa 5 usiku yani kweli aruke ukutaa...??? Ndo kuvumiliana kwenye raha na shidaa mkuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ila for sure Kuna wanaume wanaboa sana wakilewa....
Mpk wanawake zao wanachoka kuvumilia vioja na viroja....
All in all Mungu atupe mwisho mwema...
 
Huyo mkewe tumwite nani?
R I P marehemu!
 
Ametoa ushauri muwe na funguo zenu, hujaona? Umeona tu roho mbaya ya huyo alogoma kufungua mlango?

Yan mtu umejizoelea kulala saa 4, mumeo mlevi anakaa bar mpaka saa7/8/9, kuamshwa kila wakati hivyo inaboa sana.
Ulevini tunakuwa na funguo za gari tu hayo mafunguo mengine sie tusiokaa nyumbani hatuyawezi
 
Pombe ni mbaya sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…