Auz
JF-Expert Member
- Apr 6, 2016
- 13,539
- 11,419
Uzuri ameacha hiyo tabia.Hama kwenu
Kapange
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uzuri ameacha hiyo tabia.Hama kwenu
Kapange
Mrs Lissu naona umei dislike hii post yangu, utakuja kweli Mwakitolyo wewe, au ndiyo nimeshakitia kitumbua mchanga!Huu uzi ni wa muda mrefu, lakini nimewiwa kuongea na mtu huyu...
Kwanza ninamasikitiko sana kama hii stori ni ya kweli, huyo mwanamke atakuwa amehusika moja kwa moja kumuua mumewe, na kama ilikuwa tabia yake kupita kwa kuruka, basi alijitakia kifo..
Hiyo sentensi ya mwisho kila nikiisoma najaa jazba, eti "inachosha sana kuamshwa na mtu aliyetoka kwenye starehe zake ukatishe usingizi wako ili umfungulie"
Sentensi imejaa makosa mengi ya kimantiki, na mengine ni ya ujinga tu wa kushindwa kuelewa.
1)Huyo unaemuita mtu siyo mtu tu kama watu wengine...
-Huyo ni mumeo.
-Ametoa pesa kwenu ili kukununua wewe uje umuhudumie.
-Huyo ndiyo kichwa cha nyumba kiongozi wa familia.
-Ndiye mbadala wa baba yako.
-Ndiye kachukua majukumu ya baba yako.
-Kwa hiyo huyo ni kama baba yako.
-Ndiye mwenye jukumu la kukuvisha, kukulisha unashiba mpaka unapata huyo usingizi wako.
-Hapangiwi muda wa kurudi.
-Ni jukumu lako kumfungulia mlango, kumtengea chakula ale, na kuhakikisha ameenda kulala vizuri..
Niishie tu hapa inatosha..
Mimi ukigoma kufungua mlango siku hiyo hiyo unaondoka na hautorudi kamwe..
Mwanaume ukiendekeza ujinga ujinga kwa mkeo unajitafutia kifo cha mapema, siyo hilo la kufunguliwa tu, kuna viujinga ujinga vingi. Ni bora uishi bachela, kuliko kuishi na mwanamke asiyetambua nafasi yako kama baba wa familia.
...Hafai...[emoji35]Ndoa zina mambo mengi.
Kuna siku nilikuwa mwendo kasi la kutoka kariakoo kwenda kimara usiku saa 4. Likagongana na land cruiser pale fire mzinga wa maana tu. Halafu mimi nilikaa mbele mbele kabisa na jamaa wengine watatu. Wenzangu waliumia zaidi. Mimi sikujiona kama nimeumia sana nikashuka chap nikampigia wife kuwa nilikuwa kwenye daladala nimepata ajali. Akajibu AHAA POLE. Basi akalala zake.
Baadae kidogo ndio mtu akaniangalia akaniambia nimeumia jichoni, naona ile shock ya kuponea chupuchupu kufa ndio ilinipumbaza. Nikaenda hospitali wakanihudumia nikarudi home. Wife hakuuliza tena kuhusu hiyo ajali. Asubuhi nilivoamka nikagundua na mguu nao unauma, kumbe niliumia. Nikaenda hospitali tena bila kumwambia chochote.
Watu wengine wote niliwataarifu aisee walionyesha kujali sana. Wengine walikuja kunilna na wakawa wanauliza maendeleo yangu wiki nzima wanafuatilia.
Wife hakuwahi kuuliza tena mpaka baada ya mwezi ndio nikamtaarifu kuwa nimegundua mle ndani naishi na mtu sio kwa sababu ni mke wangu ila ni kwa sababu anapata huduma zangu. Ila hajali chochote kitakachonitokea. Si ajabu ananiombea nife kila siku ili ajinafasi. Nikamwambia toka siku hiyo nimemfuta akilini kwangu naishi nae tu kama mtu flani tu.
Kwa kifupi nilimfuta kwenye ratiba zangu. Baadae akaja kuomba msamaha eti tabia zangu ndio zilifanya asijali.
[emoji23][emoji23]
Tukonaye manzese tunajaribu kukamilisha Uzi wa rikiboyKuna jirani yangu hapa yy siku zote ni kurudi saa nane za usiku,huwa najiuliza kazi zake ndo zinamalizika mda huo au ni nn?,najua anatumia pombe lakini si rahisi mtu kuwa kwenye viringe vya pombe siku zote hadi saa nane za usiku.
Mke wake ni mama wa nyumbani ,sijajua kama huwa anarudi kalewa au laa ila huwa nasikia geti tu linafunguliwa pamoja na sauti ya gari ,na nikitazama mda ni saa nane na madakika ,yani hii ni kila siku
According to you lakiniWalevi na wafiraaji, wazinzi hawataulidhi ufalme wa Mungu[emoji120]
JKK anakuona ujue.Bora na ww umejionea.
Na akirudi vurugu. Lipo lipare limoja la makanya linafanya bandari nalo lina tabia za kula starehe huko na madanga halafu likirudi limelewa chakarii linampiga maza angu mdogo.... linanikera natamani hata lipate majanga Leo kesho.
We libaba kama unasoma hapa jua tu kwa matendo yako sikupendi kama m****avi
Jkk ndo mnavyomuita?JKK anakuona ujue.
Dah almost umenitoa machozi , haka kabinti kangu nakaombea kawe kama wewe .Mimi baba yangu alikua anakunywa sana na alikua anarudi usiku na mimi ndo alikua anapenda nimfungulie akifika mlangoni ataniita mimi japo nilikua nakwazika sana napata hasiraa sana nikawa nawaza why baba hawaamshi wengine.. na huwezi amini japo nilikua sipendi but nilikua silali usingizi hauji hadi nihakikishe namfungulia nilikua naogopa asije dhuriwa. Hivyo hyo ni tabia yangu mpk leo kwa husband japo yy si mnywaji ni mara moja moja akichelewa yupo huko siwezi lala mpk nifungue mimi naogopa ssna usiku na kama kuna mpendwa wangu nje hajaingia ndani au labda anasafiri usiku huwa napata shida.
Ila kabinti kasiwe kama nani vileewDah almost umenitoa machozi , haka kabinti kangu nakaombea kawe kama wewe .
Itikia Amen kwa afya ya furaha yangu
😅😅😅 Hebu niache kwanza Kadori ,niombee haka kabinti kanipende sana maana bila yeye uzee wangu utakuwa wa tabu sanaIla kabinti kasiwe kama nani vileew
We ungesema tu kasiwe kama nakadori...😅😅😅 Hebu niache kwanza Kadori ,niombee haka kabinti kanipende sana maana bila yeye uzee wangu utakuwa wa tabu sana
Tunapendana sana Sasa hivi ,hofu yangu kasijebadilika huko mbeleni 😅😅😅We ungesema tu kasiwe kama nakadori...
Katakupenda tu ila ukitaka kakupende anza wewe kukaonesha upendo kuanzia sasa kauone then kakiwa kakubwa katarudisha upendo kwako
HaweziTunapendana sana Sasa hivi ,hofu yangu kasijebadilika huko mbeleni 😅😅😅
Kama mwenye nyumba ni uyo mwanamke jee?Ingekua Mke amwgomewa Kufunguliwa mlango hapa ingekua story kwamba Jamaa katiri angefungua wayamalize...Sasa Umeolewa unagoma Kumfungulia mlango mwenye nyumba...Mwenye nyumba hachelewi kurudi nyumbani hata siku moja...
Hii issuu ya kudandia Kuta zimecost life za watu wengi hasa ukiwa umetumia ulabu....Memba mwenzetu ametangulia mbele ya haki. Pengine nisingejisumbua kuripoti huu msiba lakini mazingira ya kifo chake ni ya kuhuzunisha na yenye mafunzo. Sijui username yake ya JF kwani tulikutana ''casually'' kwenye kilevi mwezi wa tatu mwaka huu tena siku moja tu. Katika maongezi alinijulisha kuwa yeye ni ''active member'' wa JF na anapenda sana kuchangia. Baada ya kilevi (maeneo ya Boko) tulipokuwa tunaondoka akanionyesha nyumbani kwake na mimi nikaondoka kurudi kwetu Msasani ninakoishi.
Fast forward, wiki kama mbili zilizopita nilirudi tena maeneo tuliyokutana kwenye mishe zangu. Nikaona msiba kwenye boma aliloniambia ni nyumba yake. Kuulizia kulikoni nikaambiwa ni yeye, mwenye nyumba amefariki. ''Eti'' alitoka kwenye kilevi usiku, akagonga geti, mke akagoma katukatu kumfungulia. Akachukua uamuzi wa kuruka ukuta. Kwa bahati mbaya akachomwa na moja ya nondo zilizoko kwenye geti la nyumba (nadhani wengi mnafahamu nondo zinazochongwa kama mkuki na kuwekwa juu ya kuta au geti ili kuzuia vibaka). Kwa bahati mbaya akavuja damu nyingi mpaka akapoteza maisha. RIP member.
Sio mzee naniliu kweli?Tupige kura kumbaini huyo mwenzetu mi naanza na..............maana siju ya pili hii hajacomment humu wala kupost
Sipendi ulevi pia nauchukia Kwa vitendo...mm huwaga nakunywa kidogo...Kwa enjoyment...
Yani kama ukilewa ukirudi kwako lazima uruke ukutaa achana na pombe tuu maana nyumba yako tu imekushinda kuicontrol...!! Mwanamke anapaswa kumfungulia mumewe mlango muda wowote...saa yoyoteeHii issuu ya kudandia Kuta zimecost life za watu wengi hasa ukiwa umetumia ulabu....