TANZIA Anayesadikiwa kuwa MwanaJF afariki dunia

TANZIA Anayesadikiwa kuwa MwanaJF afariki dunia

Memba mwenzetu ametangulia mbele ya haki. Pengine nisingejisumbua kuripoti huu msiba lakini mazingira ya kifo chake ni ya kuhuzunisha na yenye mafunzo. Sijui username yake ya JF kwani tulikutana ''casually'' kwenye kilevi mwezi wa tatu mwaka huu tena siku moja tu. Katika maongezi alinijulisha kuwa yeye ni ''active member'' wa JF na anapenda sana kuchangia. Baada ya kilevi (maeneo ya Boko) tulipokuwa tunaondoka akanionyesha nyumbani kwake na mimi nikaondoka kurudi kwetu Msasani ninakoishi.

Fast forward, wiki kama mbili zilizopita nilirudi tena maeneo tuliyokutana kwenye mishe zangu. Nikaona msiba kwenye boma aliloniambia ni nyumba yake. Kuulizia kulikoni nikaambiwa ni yeye, mwenye nyumba amefariki. ''Eti'' alitoka kwenye kilevi usiku, akagonga geti, mke akagoma katukatu kumfungulia. Akachukua uamuzi wa kuruka ukuta. Kwa bahati mbaya akachomwa na moja ya nondo zilizoko kwenye geti la nyumba (nadhani wengi mnafahamu nondo zinazochongwa kama mkuki na kuwekwa juu ya kuta au geti ili kuzuia vibaka). Kwa bahati mbaya akavuja damu nyingi mpaka akapoteza maisha. RIP member.
Bado na wewe unaendelea na Kilevi?
 
Labda niwe nimemaliza pesa yote ila akirefuse natafuta bar inayokesha naenda endeleza kilaji nikirudi asubuh nachukuwa funguo zote naenda zitoa copy
 
Memba mwenzetu ametangulia mbele ya haki. Pengine nisingejisumbua kuripoti huu msiba lakini mazingira ya kifo chake ni ya kuhuzunisha na yenye mafunzo. Sijui username yake ya JF kwani tulikutana ''casually'' kwenye kilevi mwezi wa tatu mwaka huu tena siku moja tu. Katika maongezi alinijulisha kuwa yeye ni ''active member'' wa JF na anapenda sana kuchangia. Baada ya kilevi (maeneo ya Boko) tulipokuwa tunaondoka akanionyesha nyumbani kwake na mimi nikaondoka kurudi kwetu Msasani ninakoishi.

Fast forward, wiki kama mbili zilizopita nilirudi tena maeneo tuliyokutana kwenye mishe zangu. Nikaona msiba kwenye boma aliloniambia ni nyumba yake. Kuulizia kulikoni nikaambiwa ni yeye, mwenye nyumba amefariki. ''Eti'' alitoka kwenye kilevi usiku, akagonga geti, mke akagoma katukatu kumfungulia. Akachukua uamuzi wa kuruka ukuta. Kwa bahati mbaya akachomwa na moja ya nondo zilizoko kwenye geti la nyumba (nadhani wengi mnafahamu nondo zinazochongwa kama mkuki na kuwekwa juu ya kuta au geti ili kuzuia vibaka). Kwa bahati mbaya akavuja damu nyingi mpaka akapoteza maisha. RIP member.
Huyo mwanamke atakua anafungulia wanamme wengine kwa Sasa. Aliyotaka yamekua.
 
Hapo changamoto.. ila wanaume wasiokunywa kabisa wapo.


Me zamani nilikuwa nakunywa kiasi, nikaja date mtu hanywi pombe kabisa.
Akanirudisha kwenye mstari, nikaacha na mpk leo sijawahi hata kumiss
Yaah pombe kwa watu wengi hunywa kwa kampani tu, akizungukwa na mwanywaji anakunywa wakisepa nae hanywi.
 
Jaman wale mnaopenda kulewa au kuchelewa kurudi majumbani mwenu kwa sababu za starehe kama hizi muwe mnakuwa na funguo za ziada ili ukirudi unajifungulia mwenyewe kuepusha vifo visivyo vya lazima.

Inachosha sana kuamshwa na mtu aliyetoka kwenye starehe zake ukatishe usingizi wako ili umfungulie
Ni bora kurudia asubuhi kuliko huu ujinga

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Kama wanawake wameanza tabia za kugoma kufungua milango dawa ni kurudi asubuhi tu. Unune usinune shauri yako
 
Yeye alipokataa kufungua wala hakuwaza hayo. Lakini pia huwezi jua ndoa yao ilikuwaje...ukute marehemu alikuwa aina ya wanaume ambao hawajali hisia za mke bali kujifurahisha yeye mwenyewe kwenye hizo pombe zake jambo ambalo mkewe alikuwa halimfurahishi
Ndoa zina mambo mengi.


Kuna siku nilikuwa mwendo kasi la kutoka kariakoo kwenda kimara usiku saa 4. Likagongana na land cruiser pale fire mzinga wa maana tu. Halafu mimi nilikaa mbele mbele kabisa na jamaa wengine watatu. Wenzangu waliumia zaidi. Mimi sikujiona kama nimeumia sana nikashuka chap nikampigia wife kuwa nilikuwa kwenye daladala nimepata ajali. Akajibu AHAA POLE. Basi akalala zake.

Baadae kidogo ndio mtu akaniangalia akaniambia nimeumia jichoni, naona ile shock ya kuponea chupuchupu kufa ndio ilinipumbaza. Nikaenda hospitali wakanihudumia nikarudi home. Wife hakuuliza tena kuhusu hiyo ajali. Asubuhi nilivoamka nikagundua na mguu nao unauma, kumbe niliumia. Nikaenda hospitali tena bila kumwambia chochote.

Watu wengine wote niliwataarifu aisee walionyesha kujali sana. Wengine walikuja kunilna na wakawa wanauliza maendeleo yangu wiki nzima wanafuatilia.

Wife hakuwahi kuuliza tena mpaka baada ya mwezi ndio nikamtaarifu kuwa nimegundua mle ndani naishi na mtu sio kwa sababu ni mke wangu ila ni kwa sababu anapata huduma zangu. Ila hajali chochote kitakachonitokea. Si ajabu ananiombea nife kila siku ili ajinafasi. Nikamwambia toka siku hiyo nimemfuta akilini kwangu naishi nae tu kama mtu flani tu.

Kwa kifupi nilimfuta kwenye ratiba zangu. Baadae akaja kuomba msamaha eti tabia zangu ndio zilifanya asijali.
[emoji23][emoji23]
 
Memba mwenzetu ametangulia mbele ya haki. Pengine nisingejisumbua kuripoti huu msiba lakini mazingira ya kifo chake ni ya kuhuzunisha na yenye mafunzo. Sijui username yake ya JF kwani tulikutana ''casually'' kwenye kilevi mwezi wa tatu mwaka huu tena siku moja tu. Katika maongezi alinijulisha kuwa yeye ni ''active member'' wa JF na anapenda sana kuchangia. Baada ya kilevi (maeneo ya Boko) tulipokuwa tunaondoka akanionyesha nyumbani kwake na mimi nikaondoka kurudi kwetu Msasani ninakoishi.

Fast forward, wiki kama mbili zilizopita nilirudi tena maeneo tuliyokutana kwenye mishe zangu. Nikaona msiba kwenye boma aliloniambia ni nyumba yake. Kuulizia kulikoni nikaambiwa ni yeye, mwenye nyumba amefariki. ''Eti'' alitoka kwenye kilevi usiku, akagonga geti, mke akagoma katukatu kumfungulia. Akachukua uamuzi wa kuruka ukuta. Kwa bahati mbaya akachomwa na moja ya nondo zilizoko kwenye geti la nyumba (nadhani wengi mnafahamu nondo zinazochongwa kama mkuki na kuwekwa juu ya kuta au geti ili kuzuia vibaka). Kwa bahati mbaya akavuja damu nyingi mpaka akapoteza maisha. RIP member.
Dah very sad iasee Mungu ampe Rehema yake
 
Ndoa zina mambo mengi.


Kuna siku nilikuwa mwendo kasi la kutoka kariakoo kwenda kimara usiku saa 4. Likagongana na land cruiser pale fire mzinga wa maana tu. Halafu mimi nilikaa mbele mbele kabisa na jamaa wengine watatu. Wenzangu waliumia zaidi. Mimi sikujiona kama nimeumia sana nikashuka chap nikampigia wife kuwa nilikuwa kwenye daladala nimepata ajali. Akajibu AHAA POLE. Basi akalala zake.

Baadae kidogo ndio mtu akaniangalia akaniambia nimeumia jichoni, naona ile shock ya kuponea chupuchupu kufa ndio ilinipumbaza. Nikaenda hospitali wakanihudumia nikarudi home. Wife hakuuliza tena kuhusu hiyo ajali. Asubuhi nilivoamka nikagundua na mguu nao unauma, kumbe niliumia. Nikaenda hospitali tena bila kumwambia chochote.

Watu wengine wote niliwataarifu aisee walionyesha kujali sana. Wengine walikuja kunilna na wakawa wanauliza maendeleo yangu wiki nzima wanafuatilia.

Wife hakuwahi kuuliza tena mpaka baada ya mwezi ndio nikamtaarifu kuwa nimegundua mle ndani naishi na mtu sio kwa sababu ni mke wangu ila ni kwa sababu anapata huduma zangu. Ila hajali chochote kitakachonitokea. Si ajabu ananiombea nife kila siku ili ajinafasi. Nikamwambia toka siku hiyo nimemfuta akilini kwangu naishi nae tu kama mtu flani tu.

Kwa kifupi nilimfuta kwenye ratiba zangu. Baadae akaja kuomba msamaha eti tabia zangu ndio zilifanya asijali.
[emoji23][emoji23]
Duh poleee sana
Kweli hakufanya sawa maana hata kama mmegombana ila unapoambiwa mwenzio anaumwa unasahau yoote unahudumia ugonjwa then mengine baadaye.

Huenda ulimkwaza sana huko nyuma hadi kupelekea moyo wake kusinyaa na kufa ganzi... (jitafakari). Maana sisi wanawake huwa ni wepesi kupenda na kuweka mtu moyoni ila pale moyo unapokufa ganzi asee hata ufanyeje.
 
Memba mwenzetu ametangulia mbele ya haki. Pengine nisingejisumbua kuripoti huu msiba lakini mazingira ya kifo chake ni ya kuhuzunisha na yenye mafunzo. Sijui username yake ya JF kwani tulikutana ''casually'' kwenye kilevi mwezi wa tatu mwaka huu tena siku moja tu. Katika maongezi alinijulisha kuwa yeye ni ''active member'' wa JF na anapenda sana kuchangia. Baada ya kilevi (maeneo ya Boko) tulipokuwa tunaondoka akanionyesha nyumbani kwake na mimi nikaondoka kurudi kwetu Msasani ninakoishi.

Fast forward, wiki kama mbili zilizopita nilirudi tena maeneo tuliyokutana kwenye mishe zangu. Nikaona msiba kwenye boma aliloniambia ni nyumba yake. Kuulizia kulikoni nikaambiwa ni yeye, mwenye nyumba amefariki. ''Eti'' alitoka kwenye kilevi usiku, akagonga geti, mke akagoma katukatu kumfungulia. Akachukua uamuzi wa kuruka ukuta. Kwa bahati mbaya akachomwa na moja ya nondo zilizoko kwenye geti la nyumba (nadhani wengi mnafahamu nondo zinazochongwa kama mkuki na kuwekwa juu ya kuta au geti ili kuzuia vibaka). Kwa bahati mbaya akavuja damu nyingi mpaka akapoteza maisha. RIP member.
Dah very sad iasee Mungu ampe reje
 
Back
Top Bottom