Anayesema ukilala sana na malaya huwezi kuwa tajiri aniulize mimi!

Anayesema ukilala sana na malaya huwezi kuwa tajiri aniulize mimi!

Hakuna maandiko yanayosadifu ulichonena. Yaani tunagonga na hela hazikauki.
Yaani Mungu kwenye amri zake aseme USIZINI, halafu wewe uzini, then ufanikiwe.
Kwa maana nyingine Mungu anapingana na neno lake. Acha kukumfuru Mungu, Mungu sio mwanasiasa mpaka aseme uongo
 
Yaani Mungu kwenye amri zake aseme USIZINI, halafu wewe uzini, then ufanikiwe.
Kwa maana nyingine Mungu anapingana na neno lake. Acha kukumfuru Mungu, Mungu sio mwanasiasa mpaka aseme uongo
Upo gizani. Unafahamu ili uwe mtu wa Mungu ufanye nini? Naweza kuwa nagonga mademu na bado nikawa mtu wake. Kuna kitu ukiwa nacho unakuwa ni mtu WAKE. Hukijui!

Tembea uone wale wanaojinadi hawazini namna maisha yalivyowachapa. Kutozini au kuzini si guarantee ya Mungu kukupa WEWE mali. FUTA hicho kitu tangu leo.


Unakijua kisa cha Balaamu?
 
Jumatano njema!

Angalizo: nitatumia lugha zisizo rasmi kwenye uzi huu.

***************************************

Kuna vitu vinachekesha mno. Sasa kuna linkage ipi kati ya ngono na wanawake na kuwa na kibunda? Hivi kuna faida gani kwenye kujiongopea wewe mwenyewe na kuwaongopea watu?

Ni mwanaume rijali, nina matamanio na ninapenda ngono sana, kuna tatizo? Napenda maungo ya wanawake mno kuna shida?

Niwe mkweli, mimi napenda ngono mno na nina udhaifu wa kutotosheka na mwanamke mmoja, na hata kuongeza mke nafikiri nitaongeza.

Mbali na haya yote, maisha mazuri ninayo, na nilifanikiwa katika umri mdogo tu.

Nafikiri Mungu anapotoa haangalii kama unalala na wanawake au unapenda ngono sana.

Nakumbuka kabla sijaoa miaka hiyo nilikuwa napenda mno kulala na malaya. Kama ni nuksi basi mimi ningekuwa wa kwanza kuzipata. Why nipo financially stable? Kwa sababu nilikataa kujiongopea na kumdanganya Mungu! Hofu ni mbaya!

Nilikuwa nawala malaya kavu kavu back in days, hizo nuksi ziko wapi? Uongo mtupu![emoji38] hakuna cha nuksi wala kaka yake nuksi.

Sisemi watu walale na malaya, nisinukuliwe vibaya tafadhali ila nauumbua uongo uongo waliojitungia watu na kutaka wote tuuamini.

Huna chochote wewe binadamu cha kumshawishi Mungu akupe mali, usijiongopee na usijaribu kumuongopea Mungu.

Wanaosema hawazini, hawapendi ngono nk, ndiyo makapuku wakubwa, kwa nini? Kwa sababu wanamuongopea Mungu. Kwamba wabarikiwe kwa sababu eti siyo wazinzi[emoji38] never! Mambo hayaendi hivyo.

Sijisifii kuwa nina hela sana. Hapana, ila najaribu kusema kuwa huna chochote cha kumshawishi Mungu akubariki, huna. Mungu akiamua kukupa anakupa tu iwe unapenda makalio, mapaja, uchi au la!

Hoja ya kusema eti ukila malaya au ukizini hupati pesa au Mungu hakubariki, ipuuzwe. Mnawadanganya sana watu.

NB: Sina tabia hizo now, nilishaacha. Niliacha mwenyewe na si kwa kulazimishwa.
Lipia tangazo, unatamba kuwa una pesa.
 
Jumatano njema!

Angalizo: nitatumia lugha zisizo rasmi kwenye uzi huu.

***************************************

Kuna vitu vinachekesha mno. Sasa kuna linkage ipi kati ya ngono na wanawake na kuwa na kibunda? Hivi kuna faida gani kwenye kujiongopea wewe mwenyewe na kuwaongopea watu?

Ni mwanaume rijali, nina matamanio na ninapenda ngono sana, kuna tatizo? Napenda maungo ya wanawake mno kuna shida?

Niwe mkweli, mimi napenda ngono mno na nina udhaifu wa kutotosheka na mwanamke mmoja, na hata kuongeza mke nafikiri nitaongeza.

Mbali na haya yote, maisha mazuri ninayo, na nilifanikiwa katika umri mdogo tu.

Nafikiri Mungu anapotoa haangalii kama unalala na wanawake au unapenda ngono sana.

Nakumbuka kabla sijaoa miaka hiyo nilikuwa napenda mno kulala na malaya. Kama ni nuksi basi mimi ningekuwa wa kwanza kuzipata. Why nipo financially stable? Kwa sababu nilikataa kujiongopea na kumdanganya Mungu! Hofu ni mbaya!

Nilikuwa nawala malaya kavu kavu back in days, hizo nuksi ziko wapi? Uongo mtupu![emoji38] hakuna cha nuksi wala kaka yake nuksi.

Sisemi watu walale na malaya, nisinukuliwe vibaya tafadhali ila nauumbua uongo uongo waliojitungia watu na kutaka wote tuuamini.

Huna chochote wewe binadamu cha kumshawishi Mungu akupe mali, usijiongopee na usijaribu kumuongopea Mungu.

Wanaosema hawazini, hawapendi ngono nk, ndiyo makapuku wakubwa, kwa nini? Kwa sababu wanamuongopea Mungu. Kwamba wabarikiwe kwa sababu eti siyo wazinzi[emoji38] never! Mambo hayaendi hivyo.

Sijisifii kuwa nina hela sana. Hapana, ila najaribu kusema kuwa huna chochote cha kumshawishi Mungu akubariki, huna. Mungu akiamua kukupa anakupa tu iwe unapenda makalio, mapaja, uchi au la!

Hoja ya kusema eti ukila malaya au ukizini hupati pesa au Mungu hakubariki, ipuuzwe. Mnawadanganya sana watu.

NB: Sina tabia hizo now, nilishaacha. Niliacha mwenyewe na si kwa kulazimishwa.

vipi hukupata ukimwi na magono
 
Mungu na shetani wote wanatoa utajiri.
Kama utajiri wako unatokana na maagano na Mungu, ukizini umevunja agano na utajiri wake aliokupa anauchukua. Usidanganye watu
Wewe una maagano na upande wa ibilisi ambao ngono kwake sio issue
Vipi kwa mfalme mwenye hekima duniani
 
Upo gizani. Unafahamu ili uwe mtu wa Mungu ufanye nini? Naweza kuwa nagonga mademu na bado nikawa mtu wake. Kuna kitu ukiwa nacho unakuwa ni mtu WAKE. Hukijui!

Tembea uone wale wanaojinadi hawazini namna maisha yalivyowachapa. Kutozini au kuzini si guarantee ya Mungu kukupa WEWE mali. FUTA hicho kitu tangu leo.


Unakijua kisa cha Balaamu?
Wewe kutokuwa na shida haimaanishi ni Mtu wa Mungu. Shetani huwahudumia watu wake.

Usitake kupotosha watu hapa. Pambana na laana zako. Na mtu anaepitia shida haimaanishi sio mtu wa Mungu.
 
Wewe kutokuwa na shida haimaanishi ni Mtu wa Mungu. Shetani huwahudumia watu wake.

Usitake kupotosha watu hapa. Pambana na laana zako. Na mtu anaepitia shida haimaanishi sio mtu wa Mungu.
[emoji23][emoji23][emoji23] wewe kutonitambua kama mtu wa Mungu hainiondolei Mungu kunitambua kama mtu wake.[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Jumatano njema!

Angalizo: nitatumia lugha zisizo rasmi kwenye uzi huu.

***************************************

Kuna vitu vinachekesha mno. Sasa kuna linkage ipi kati ya ngono na wanawake na kuwa na kibunda? Hivi kuna faida gani kwenye kujiongopea wewe mwenyewe na kuwaongopea watu?

Ni mwanaume rijali, nina matamanio na ninapenda ngono sana, kuna tatizo? Napenda maungo ya wanawake mno kuna shida?

Niwe mkweli, mimi napenda ngono mno na nina udhaifu wa kutotosheka na mwanamke mmoja, na hata kuongeza mke nafikiri nitaongeza.

Mbali na haya yote, maisha mazuri ninayo, na nilifanikiwa katika umri mdogo tu.

Nafikiri Mungu anapotoa haangalii kama unalala na wanawake au unapenda ngono sana.

Nakumbuka kabla sijaoa miaka hiyo nilikuwa napenda mno kulala na malaya. Kama ni nuksi basi mimi ningekuwa wa kwanza kuzipata. Why nipo financially stable? Kwa sababu nilikataa kujiongopea na kumdanganya Mungu! Hofu ni mbaya!

Nilikuwa nawala malaya kavu kavu back in days, hizo nuksi ziko wapi? Uongo mtupu![emoji38] hakuna cha nuksi wala kaka yake nuksi.

Sisemi watu walale na malaya, nisinukuliwe vibaya tafadhali ila nauumbua uongo uongo waliojitungia watu na kutaka wote tuuamini.

Huna chochote wewe binadamu cha kumshawishi Mungu akupe mali, usijiongopee na usijaribu kumuongopea Mungu.

Wanaosema hawazini, hawapendi ngono nk, ndiyo makapuku wakubwa, kwa nini? Kwa sababu wanamuongopea Mungu. Kwamba wabarikiwe kwa sababu eti siyo wazinzi[emoji38] never! Mambo hayaendi hivyo.

Sijisifii kuwa nina hela sana. Hapana, ila najaribu kusema kuwa huna chochote cha kumshawishi Mungu akubariki, huna. Mungu akiamua kukupa anakupa tu iwe unapenda makalio, mapaja, uchi au la!

Hoja ya kusema eti ukila malaya au ukizini hupati pesa au Mungu hakubariki, ipuuzwe. Mnawadanganya sana watu.

NB: Sina tabia hizo now, nilishaacha. Niliacha mwenyewe na si kwa kulazimishwa.
Mungu akurehemu na omba sana toba pia uzinzi utakuingiza jehanamu ndugu dunia tunapita na mambo yote yanapita lakini neno la Mungu Yesu Kristo atabaki milele tubuni basi mrejee pia nakuombe ilo pepo la uzinzi likuachie likutoke ukapate uponyaji uache uzinzi Mungu Baba wa mbinguni akusaidie akuponye
 
[emoji23][emoji23][emoji23] wewe kutonitambua kama mtu wa Mungu hainiondolei Mungu kunitambua kama mtu wake.[emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe kuwa mtu wa Mungu ila uko huku unapoteza kondoo wake sio shida zangu utapambana nae mwenyewe
 
Demu wangu now ex alikuwaga ananihubiria hivi hivi afu hanipi mzigo,alikuwa mlokole na bado ni mlokole hujawahi ona, nikafanya mpango na msela wangu smart,handsome like yeah yeah, nikampa number wakaanza kuchat mind you hawajuani but wamekutana kwenye sim tu, ndani ya week tu mshikaji wangu akaenda kula akarekodi na picha juu akaniletea... Ilikuwa 10 years ago ile nimemaliza form 4.

Aiseeeeee tangu hapo niliogopa mwanamke! Demu mpaka leo hajuagi nilichokifanya behind the scene kila kukicha anapost status kuwaasa wanawake wajitunze kwaajili ya ndoa, waache anasa na wakabidhi maisha yao kwa yesu. So kabla hujashauri na kuhubiri wengine na kuwaita wazinzi etc, jiulize hapo ulipo we ni bikra!? unasubiri ndoa eeeh!?, Huliwi eeh!? au ndo yale dhambi nyingine kubwa nyingine ndogo!?
Husinihukumu Mwenyezi Mungu ndo ananijua wewe huwezi nijua maana Mungu ndo anachunguza mioyo so wewe ni ngumu kunifahamu bro na kazi inaendelea kuhubiri neno la Mungu sintaacha nitamuhubiri Yesu mpaka atakaporudi unasikia damu ya Yesu ukutakase hayo mawazo yako machafu.
 
Demu wangu now ex alikuwaga ananihubiria hivi hivi afu hanipi mzigo,alikuwa mlokole na bado ni mlokole hujawahi ona, nikafanya mpango na msela wangu smart,handsome like yeah yeah, nikampa number wakaanza kuchat mind you hawajuani but wamekutana kwenye sim tu, ndani ya week tu mshikaji wangu akaenda kula akarekodi na picha juu akaniletea... Ilikuwa 10 years ago ile nimemaliza form 4.

Aiseeeeee tangu hapo niliogopa mwanamke! Demu mpaka leo hajuagi nilichokifanya behind the scene kila kukicha anapost status kuwaasa wanawake wajitunze kwaajili ya ndoa, waache anasa na wakabidhi maisha yao kwa yesu. So kabla hujashauri na kuhubiri wengine na kuwaita wazinzi etc, jiulize hapo ulipo we ni bikra!? unasubiri ndoa eeeh!?, Huliwi eeh!? au ndo yale dhambi nyingine kubwa nyingine ndogo!?
Ungemtumia tu huo uchafu wake ktk simu yake.
 
Ukute maombi ya mama yako yalikubeba uko hapa unajisifu
 
Nitajibu kwa kifupi:

Ngono ni serious exchange of inner being and so spiritual, unapolala na wanawake wengi unapoteza identity yako.

Umalaya na tabia ya kulala na wake wengi una mazara kabisa kwenye maisha.....
No napingana na wewe man
Inategemea na vile unavyoingiza uume wako ndani ya uke basi na kama midomo yenu itakutana na jinsi miili yenu itakavyogusana..
 
Back
Top Bottom