Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwisho wa kunukuu."Ninataka kesi hii iwe fundisho kwa watu wengi, kwa sababu tulifanya uzembe mkubwa sana sisi wanandoa na jamii pia ilifanya uzembe hadi mauaji yakatokea, alidai Luwonga.
Hata mimi hii itakuwa my best option "KUONDOKA" Ili kuepusha yakuepukikaSijaona cha kujifunza, maana kama mtu tumefikia ugomvi wa kulala tofuati, nitaondoka.
Duuh hatari sana.Naomi alishapata jamaa mwengine aliyemzuzua, mtuhumiwa alikuwa anajua na walishajaribu kusuruhisha lakini Naomi alikuwa kichwa bure akawa anadai talaka ndoa ivunjwe wagawane pasupasu ili atimkie kwa mshkaji mpya.
Kama mashuhuda wanavyosema, ilifikia kipindi Naomi analetwa na mshkaji mpaka nyumbani Gezaulole na mshtakiwa anapata habari lakini alikuwa kimya baada ya suluhu zote kwa mshenga mpaka wazazi kugonga mwamba. Wakawa wanaishi ili mradi tu siku zisonge watoto waende shule,Visa vilikuwa vingi kwa upande wa Naomi juu ya mumewe. Hakika mtuhumiwa alimvumilia sana mkewe...
Yote juu ya yote ndio hayo tuliyosikia yaliyotokea na mtuhumiwa amekiri wazi na kuelezea jinsi ilivyokuwa siku hiyo...
Sio kama akili yake haipo mchezoni bali ameshachoshwa na prolonged process ya case wakati ameshakiri wazi kuwa ameua kwa kusudia. Anachotaka Ni hukumu ya haki yaani hata kama atanyongwa basi ijulikane ananyongwa kwa mauaji ya kutokukusudia.Sahihi kabisa Mkuu
Akili yake tayari haipo Mchezoni
Mie kila siku huwa nasema hili, tatizo wabongo wanapenda kuishi kwa kuridhisha watu, ndoa ya shangazii niliivunja wazi wazi mbele ya kikao, na ananishukuru had leo.Mambo yakifikia kushikana miili kwaajili ya kudhuru, kulala vyumba tofauti mkawa kama mmehalalisha Open Relationship.
Bora ndoa ivunjwe, kuepuka ulemavu na vifo kisa ndoa.
Mtuhumiwa yuko tayari kunyongwa, mleta uzi ni sifi leo [emoji847]
Nimekuunga mkono ulichosema in your first paragraph alafu mwishoni mwa comment yako ukanifanya nicheke.🤣🤣Mambo yakifikia kushikana miili kwaajili ya kudhuru, kulala vyumba tofauti mkawa kama mmehalalisha Open Relationship.
Bora ndoa ivunjwe, kuepuka ulemavu na vifo kisa ndoa.
Mtuhumiwa yuko tayari kunyongwa, mleta uzi ni sifi leo 🤗
Mimi kuvunja ndoa yangu sihitaji ushauri wa mtu yeyote kama ambavyo nilimtongoza hadi kumuoa bila msukumo wala hamasa ya mtu yeyote.Mpo kwenye ndoa ndo mnashtuka hamuendani wote kambale mnawafata viongoz wa dini ili kila mtu abebe kipande chake cha mbao hawaelewi wanawaambia jahazi ili mpaka mfike nalo kisiwa cha ahadi wazazi nao badala ya kusuruhisha na kukemea maovu wanatetea upande wa watoto wao .kijana ukiona ndoa inakupa presha baada ya furaha ivunje mapema sana kuepusha fedheha
sema lolote nduguMmh 🤔🤔
Kum banika mtu mchezoSahihi kabisa Mkuu
Akili yake tayari haipo Mchezoni
Ndoa ya shangazi yako uliivunjaje? I mean ulisimama Kama nani katika hiyo issue?🤔Mie kila siku huwa nasema hili, tatizo wabongo wanapenda kuishi kwa kuridhisha watu, ndoa ya shangazii niliivunja wazi wazi mbele ya kikao, na ananishukuru had leo.
Unabanikwa tuKum banika mtu mchezo
Sio kumbanika tu zaidi akawa anakigeuza geuza kichwa cha Naomi kama mshkaji ili kiungue haraka😂😂Kum banika mtu mchezo
Kuvunja ndoa sio jambo la siku moja,kuna wakati inaweza chukua hata miaka 3 mpaka 4,sasa hapo mnaposubiria hilo litimie ni chuki ya hali ya juu inazidi kuwajaa,kila mmoja haoni thamani ya mwenzake kuishi,kinachofuata ndio hayo mauaji.Kinachowachelewesha mara nyingi ni ile mambo ya kujipa matumaini kuwa inawezekana hali ikabadilika,hapo kuna ndugu wanawasihi,watumishi wa Mungu,marafiki n.k...Mambo yakifikia kushikana miili kwaajili ya kudhuru, kulala vyumba tofauti mkawa kama mmehalalisha Open Relationship.
Bora ndoa ivunjwe, kuepuka ulemavu na vifo kisa ndoa.
Mtuhumiwa yuko tayari kunyongwa, mleta uzi ni sifi leo 🤗
Watu wanapenda ile kaolewa na pete zile kibongo bongo wanaona deal. Hata kama ndani hakukaliki. Mapenzi ni furaha, mkianza kick boxing kila mtu aende njia yake. Kusiwe na kisingizio cha watoto wala mali lah gunia zinakuhusu...Mie kila siku huwa nasema hili, tatizo wabongo wanapenda kuishi kwa kuridhisha watu, ndoa ya shangazii niliivunja wazi wazi mbele ya kikao, na ananishukuru had leo.
Basi alikipata alicho kua anakitafutaIla namsifu jamaa kwa alichoeleza mbele ya mahakama. Naomi alikuwa msumbufu sana hata majirani zake Kigamboni wanakili hilo wazo baada ya hilo sekeseke kutokea 2019.
Ahahahahahaha ametishaSio kumbanika tu zaidi akawa anakigeuza geuza kichwa cha Naomi kama mshkaji ili kiungue haraka😂😂
Kabisa mkuu,kutoa uhai wa binadamu mwenzako sio jambo rahisi na sio jambo linaloweza kufanywa na kila mtu.Dhambi ya kuua ipo siku utakiri mwenyewe au mafichoni au hadharani