Anayesumbuliwa Na vidonda vya tumbo tafuta majani yanaitwa mashona nguo

Anayesumbuliwa Na vidonda vya tumbo tafuta majani yanaitwa mashona nguo

Ni machoma nguo, kuna yale ambayo maau yake ni ya njano mithili ya alezeti na hii ambayo haichanui sana kama hiyo mingine. Machoma nguo yapo ya aina tatu na yote hufanana
 
Una uthibitisho wa kitabibu?

Dawa za kujisemea au kusikia kwa watu sio nzuri.

Afya ni kitu cha muhimu sana, sana, sana. Huwezi tumia maneno ya watu kuamua mustakabali wake.
 
Habari za Leo wakuu,

Haijalishi vidonda vyako vimefika hatua gani au umekuwa ukisumbuliwa kwa muda gani, unaweza kutumia tiba ya asili kwa majani ya mashona nguo. Haya ni yale majani ambayo huwa yanatoa vimiba vidogo vya rangi nyeusi vyembamba, ambavyo huweza kunasa nguo unapopita karibu nayo.

Jinsi ya Kutumia:

1. Chukua majani kiasi cha ukubwa wa kiganja cha mkono.

2. Weka kwenye maji kiasi cha glasi moja.

3. Chemsha kwa muda mfupi hadi rangi ya maji ibadilike na kuwa ya machungwa (orange).

4. Epua na chuja kisha kunywa.

Ratiba ya Matumizi:

• Kunywa kila asubuhi ukiamka kabla ya kula chochote.

• Rudia jioni kabla ya mlo wa usiku.

Mimi mwenyewe nimetumia ndani ya siku mbili na nilipata nafuu ya ajabu.

Kila la heri!
Sharing is caring
Ni sahihi mkuu,na majani haya ni dawa nzuri tu,Mimi Huwa natumia sana,na kwa kuwa upatikanaji wake,yakiwa mabichi ni aghalabu sana,chukua majani yaanike kwenye chombo au kiroba kisafi yakauke kwa bila kuanikwa juani. Kisha chambua yatwange, baadae yasage kwa Brenda,UNGA wake unatumia kwa kijiko cha chakula,kwa ratiba ulioitaja hapo. Unaweza kusaga na kuhifadhi kwenye chupa au kopo kwenye mfuniko,na ukawa nayo kwa muda mrefu. Dawa hii ni baridi,tumia kwa kubwia na kusukumia na maji. Kwa wale wa mjini,unaweza kupata majani haya kwenye masoko ya mboga za majani yanajulikana kwa jina la mboga ya 'Mbwembwe'.
 
Ni sahihi mkuu,na majani haya ni dawa nzuri tu,Mimi Huwa natumia sana,na kwa kuwa upatikanaji wake,yakiwa mabichi ni aghalabu sana,chukua majani yaanike kwenye chombo au kiroba kisafi yakauke kwa bila kuanikwa juani. Kisha chambua yatwange, baadae yasage kwa Brenda,UNGA wake unatumia kwa kijiko cha chakula,kwa ratiba ulioitaja hapo. Unaweza kusaga na kuhifadhi kwenye chupa au kopo kwenye mfuniko,na ukawa nayo kwa muda mrefu. Dawa hii ni baridi,tumia kwa kubwia na kusukumia na maji. Kwa wale wa mjini,unaweza kupata majani haya kwenye masoko ya mboga za majani yanajulikana kwa jina la mboga ya 'Mbwembwe'.
Uzuri nilipo yanapatikana Kwa wingi Sana yameota Sana Na sokoni pia yanauzwa Kwa mafungu kama mboga za majani
 
Nasikia pia yanaongeza damu kwa haraka sana.
 
Wadau ,
Naomba kujua wapi naweza kuyapata hapa Dar , kwa anyefahamu.
Natanguliza shukrani
 
Una uthibitisho wa kitabibu?

Dawa za kujisemea au kusikia kwa watu sio nzuri.

Afya ni kitu cha muhimu sana, sana, sana. Huwezi tumia maneno ya watu kuamua mustakabali wake.
Ingelikuwa jamaa kaelezea 'mkuyati' kwa ajili ya mambo yetu yalee, ungelihoji na kushauri hivyo?

Kwa ushauri wako, pasingelikuwa na tiba mbadala.

Mtoa mada kafungua njia ya watu kuweza kutafiti na kutumia.
 
Bidens pilosa (Black Jack)..nilikuwa najua tu kwa vidonda vya kawaida.
 
Bidens pilosa (Black Jack)..nilikuwa najua tu kwa vidonda vya kawaida.
Bidens pilosa, commonly known as Black Jack, is a flowering plant in the Asteraceae family. It is native to the Americas but has spread to many tropical and subtropical regions worldwide. Here are some key points about this plant:

### Description:
  • Appearance: It is an annual or perennial herb that can grow up to 1.5 meters tall.
  • Leaves: The leaves are typically opposite, pinnate, and have serrated edges.
  • Flowers: The plant produces small, yellow or white flowers with a central disc of tiny florets.
  • Seeds: The seeds are small, black, and have barbed awns that easily attach to fur or clothing, aiding in their dispersal.

### Habitat:
  • Range: Widely distributed in tropical and subtropical regions, including Africa, Asia, Australia, and the Pacific Islands.
  • Environment: Commonly found in disturbed areas, such as roadsides, agricultural fields, and waste places.

### Uses:
  • Traditional Medicine: In various cultures, Bidens pilosa has been used to treat ailments such as inflammation, infections, and digestive issues.
  • Edibility: The leaves are sometimes consumed as a vegetable in certain regions.
  • Agricultural Impact: While it has some beneficial uses, it is also considered a weed in many areas due to its invasive nature and ability to compete with crops.

### Ecological Impact:
  • Invasive Species: In some regions, Bidens pilosa is considered an invasive species because it can outcompete native plants and disrupt local ecosystems.
  • Biodiversity: Its presence can alter the composition of plant communities and affect biodiversity.

### Control:
  • Mechanical: Regular mowing or hand-pulling can help control its spread.
  • Chemical: Herbicides may be used, but care must be taken to avoid harming non-target species.
  • Cultural: Maintaining healthy, dense vegetation can help prevent its establishment.

### Research:
  • Phytochemicals: Studies have identified various bioactive compounds in Bidens pilosa, including flavonoids, polyacetylenes, and terpenoids, which contribute to its medicinal properties.
  • Pharmacological Potential: Research is ongoing to explore its potential in treating conditions such as diabetes, cancer, and microbial infections.

Overall, Bidens pilosa is a plant with both beneficial and problematic aspects, depending on the context in which it is found.
 
Pia hii n dawa nzuri ya uti

Na INASAIDIA kwenye mmengenyo

Ukitaka ikusaidie ufanye kama maji ya kunywa

M huwa naweka voganja vitatu kwenye maji ya ltr Tano

Navhemsha..naposikia hamu ya maji
Pombe nakimbilia dumu langu nakunywa
 
Back
Top Bottom