Anayetaka jua Kapangiwa chuo gani ani PM

Anayetaka jua Kapangiwa chuo gani ani PM

hebu naomba niangalizie Kilian Ndomba, ndanda hgh skull 2011.
 
Msilete utani kwenye mtandao wa maana kama huu na wenye wanazuoni wengi jitahidi kuweka taarifa za kweli acheni utapeli, Rai yangu kwa applicants wa TCU wote subirini mpaka website itoe majina acheni na hizi shortcuts.
 
Hata id yako inaonyesha ni jinsi gani ulivyo mporipori!!??
 
Kweli nyie vimeo nawambia Matokeo nnayo kwenye soft copy hamtaki pwa subiri TCU
 
kwa wale MLIOMBA tcu na majina hapa
JF hakuna mambo ya kubaniana-lete hiyo website hapa ili kila mtu ajitafute mwenyewe,kwa nini watu wa ku-pm?
hivi unazani wengine hawatajua njia unayotumia?
 
Weka mambo hadharani ku PM ndio nini tena ,au kuna kaharufu ka rushwa
 
Back
Top Bottom