Augustine Genius
JF-Expert Member
- Apr 14, 2016
- 1,216
- 1,486
Halafu pia tulikua tunakula Mbususu za Mucobs,yaani vijana wa sec tukishatumiwa pesa za matumizi tunaenda kuhonga watoto wa Chuo. Dah! Nimemkumbuka Eliza wa Diploma kama upo humu ni mimi Denis Daniel(nilikudanganya jina)Umezaliwa mwaka gani?old moshi iyo shule ilikua na wababe Sana,wakienda shule yeyote kucheza mechi ,wakifugwa Ni fujo ya hatari ,kolila iko shambani uko fujo wamletee Nani,old moshi ipo mjini ,mpaka barabara inakua haipitiki
Ushauri wa bure afanye chuo cha kitoe certificate na diploma na kozi ziwe afya, na elimu atakuja nishukuru badaeElimu Bure, kusitishwa kwa ajira za ualimu na kudorora kwa uchumi; kumeziharibu kabisa shule binafsi za sekondari. Kama hiyo shule iko mazingira rafiki, ni bora mwekezaji akaibadilisha na kuwa English medium. Huku ndiyo kuna hela kwa sasa! Ila siyo sekondari.
Kwa sasa wenye jeuri ya kushindana na serikali kwenye shule za sekondari, ni taasisi tu chache za kidini na pia matajiri wachache. The rest, kama hawa akina Olduvai!! wanajifia tu kifo cha mende.
Sure. Na ukuangalia hiyo biashara mwenyew imesha mshinda anategemea kufanya wengine misukule ye ale kwa mteremko[emoji23][emoji23]. Hakuna atakae kubali maybe awaze upyaWezi
Call me 0788962318Mkuu ni pm kabla sijakupigia, Ila uwe na utayari wa 20% sio 40%. Pia mkataba uwe wa miaka 99
Mikataba ya wazungu hiyo.Mkuu ni pm kabla sijakupigia, Ila uwe na utayari wa 20% sio 40%. Pia mkataba uwe wa miaka 99
Upo sahihi aisee English medium ni mpango mzuriElimu Bure, kusitishwa kwa ajira za ualimu na kudorora kwa uchumi; kumeziharibu kabisa shule binafsi za sekondari. Kama hiyo shule iko mazingira rafiki, ni bora mwekezaji akaibadilisha na kuwa English medium. Huku ndiyo kuna hela kwa sasa! Ila siyo sekondari.
Kwa sasa wenye jeuri ya kushindana na serikali kwenye shule za sekondari, ni taasisi tu chache za kidini na pia matajiri wachache. The rest, kama hawa akina Olduvai!! wanajifia tu kifo cha mende.
Hapo sijaelewa vizuri. Mwenye shule anatoa operation costs? Au mm ndio nawekeza mtaji wangu hapo.Kuna shule moja inaitwa Olduvai sec IPO Moshi Kilimanjaro.
Majengo yake yako imara na Ina vyumba vyakutosha vya madarasa, maabara, dinning hall , mabweni, kiwanja Cha mpira , maji all the year , fensi na umeme wa 3 phase, shule Ilisimama 2017 kutokana na ukosefu wa wanafunzi na uchumi .
Hivyo tunatafuta mtu Yuko serious tukabithiane kisheria aendeleze gurudumu la elimu mwenyeshule unampa 40%wewe unakula 60% ya income na anakupa grace period ya 3 years without payment of rent kwa maelezo zaidi nicheki tuyajenge
0788962318
Wewe unatakajeHapo sijaelewa vizuri. Mwenye shule anatoa operation costs? Au mm ndio nawekeza mtaji wangu hapo.
Ndio nmeuliza bossWewe unatakaje
I second you bossOr turn it into vocational college under NACTE .. Health and allied sciences college, offering certificate/diploma level in nursing, laboratory tech, pharmacy etc .. I see the mentioned infrastructure suits well with such courses.
Wewe kama una interest piga cm tu negotiateNdio nmeuliza boss
Wewe ndiyo umegundua mtego huoHuyu sio kuwa anataka mtu amtengenezee jina la shule kwanza ikishakuwa ama kustawi anamsimamisha
Huwa Kuna kila subconscious decision before concious decision
Lkn si mnaandikishana mkataba.Kuna shule moja ya KKT walishindwa kuiendesha kutokana na ukosefu wa wanafunzi, wakaamua wampatie mwamba mmoja mwalimu mstaafu aisimamishe hiyo shule kwa makubaliano ya mkataba.
Alichofanya yule mzee ni kutafuta vijana wa kazi, aliofanya nao kazi zamani; akaanza kutoa matangazo mkoa kwa mkoa, wilaya kwa wilaya n.k, watu wakakabiziwa fomu iwe kwa mwalimu, mwanakijiji, vijana n.k, na ela ya fomu ilikuwa inabaki kwa mwenye fomu.
Watu wakawa wanakimbilia fomu na kuuza ili wapate hela, baada ya muda mfupi shule ilisimama, wanafunzi wakawepo wa kutosha.
KKT baada ya kuona hivyo, wakaanzisha mizwenge ya kutaka shule yao, baada ya mgogoro kuwa mrefu, wakaachiwa shule, na kwa sasa shule ilishakufa.
Ndio shida ya wabongo, mtu anakukosidishia eneo kwa maelewano kabisa ili uuze bidhaa fulani, ukifanikiwa anaingiwa na wivu wa kutaka aifanye yeye hiyo biashara.Kuna shule moja ya KKT walishindwa kuiendesha kutokana na ukosefu wa wanafunzi, wakaamua wampatie mwamba mmoja mwalimu mstaafu aisimamishe hiyo shule kwa makubaliano ya mkataba.
Alichofanya yule mzee ni kutafuta vijana wa kazi, aliofanya nao kazi zamani; akaanza kutoa matangazo mkoa kwa mkoa, wilaya kwa wilaya n.k, watu wakakabiziwa fomu iwe kwa mwalimu, mwanakijiji, vijana n.k, na ela ya fomu ilikuwa inabaki kwa mwenye fomu.
Watu wakawa wanakimbilia fomu na kuuza ili wapate hela, baada ya muda mfupi shule ilisimama, wanafunzi wakawepo wa kutosha.
KKT baada ya kuona hivyo, wakaanzisha mizwenge ya kutaka shule yao, baada ya mgogoro kuwa mrefu, wakaachiwa shule, na kwa sasa shule ilishakufa.