Anayetaka nipungue aweke Mtonyo mezani tufanye Biashara-: Peter Msechu

Anayetaka nipungue aweke Mtonyo mezani tufanye Biashara-: Peter Msechu

GTA

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2013
Posts
878
Reaction score
651
C619B617-124A-4B0D-8397-05AE03EAA620-993-000001F4A7C723A9.jpeg

Peter Msechu ndiye Mwanamziki wenye uzito mkubwa, yeye wenyewe anaonekana kufulaishwa na umbo lake (BIG), Sasa msanii huyo ameandamwa na watu kuwa afanye mazoezi makali ili apungue na yeye kusema kuwa anayetaka nipungue aweke Mtonyo mezani tufanye Biashara-: Peter Msechu
Unaweza play kusikiliza akifunguka zaidi
 
Aanze tumia pombe kali.... Mafuta yatakauka
 
Anayevuma Le Mutuz, kumbe...

Sent from my Kimulimuli
 
Back
Top Bottom