Anayetambulishwa saa saba leo ni Peter Muduhwa wa Zimbabwe

Waswahili wameamua tu kula hela ya Mudi! Wanakwenda kucheza mechi 6 afu wanatolewa....! Sema ndio hivyo jamaa anakata kwenye ile 2B!
hakuna hasara yoyote wamesaini miezi sita ina maana mikataba ina expire july, hata simba iukitolewa makundi ina maan ni mwezi wa tano na usajili wa msimu mpya ni mwezi wa 8 atakaye impress atakula hata miaka 2
 
Nafahamu vizuri sana tu kwanini team za ulaya hazijafanya usajili ila pia nafahamu history miaka yote Jan huwa hawafanyi biashara kubwa na sababu ziko nyingi na wakifanya basi inawabidi tu kwa wakati huo. wachezaji wakubwa mara nyingi wanakuwa wameshacheza CL na club zao na bei zinakuwa kubwa sababu team nyingi hawataki wachezaji kuuza kabla ya msimu kuisha, suala la corona limechangia pia katika uchumi wa clubs. Hapa kwetu ni miaka yote hata kabla ya corona ndio hivi hivi iwe Simba au Yanga huwa tunashindana kusajili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…