Mkuu kwako tarehe 25 ni mapema na 21 ni mbali?Naamini Lissu atakuwepo mkutano wa mza trh 21.
Huo ndio ukweli... akiuawa hamna kitu kitafanyika, watu watalia watasahau basi
Hili swali nauliza kwa wajuzi wa sheria,hiyo kauli ya "akirudi tunaye" inaweza kutumika kumtia muongeaji hatiani? "akirudi tunaye" tunaye wapi? tunae nyumbani? tunae kwenye majukumu? tunaye kwenye siasa? tunaye kwenye kujenga nchi? tunaye kivipi? Isije kuwa Chadema wanatafuta mitaji midogo kwa ajili ya siasa zao changa.
Hakuna laana kama kiongozi wa nchi kushindwa nikukemea na kufanyia uchunguzi matukio ya utekwaji na maiti kuokotwa baharini na watu kupigwa risasi bila ya hatua zozote kuchukuliwa.Na chochote kitakachomtokea huyo binti mnayemzushia huu ujinga mtakuwa wahusika hapa na mbinguni pia. Wajinga sana nyie mijitu mizima mnahangaika na kisichana kidogo. Na hii ni laaana ya chuki ya wale 19
Naona Chadema yote ajenda ni huyo dada! Mpaka sasa mikutano imeruhusiwa hatufahamu ajenda kuu za chama.
Hii mikutano inaweza kuishia kujaza watu bila tija kama mikakati itakuwa dhaifu.
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Kufanyia uchunguzi maiti zinazookotwa baharini ni lini serikali ilifanyia uchunguzi hilo?Sheria zipo na zinatumika. Wewe ulitambua hizo maiti ni za nani?
Mzaha kwenye issue ngumu za kisiasa nchini
A mad man sees what he sees.Kwa nini polisi atamke hayo maneno kwa mwanasiasa??
Kama wewe siyo mpumbavu unayetaka kumanipulate watu wasione upuuzi wa ofisa wa polisi anayezungumzia kumdhuru kiongozi wa upinzani ambae alishambuliwa akanusurika kufa baada ya kushambuliwa, na hadi leo serikali na vyombo vyake vya usalama havijawahi kuwakamata wahusika.
Unazidi kuprove upumbavu wako kwa kuingiza dhana zako za kilevi kuhusisha tukio dhahiri la ofisa usalama anayetakiwa kulinda usalama wa raia wote wapinzani inclusive kuonyesha nia ovu na kurudi kwa Lissu nchini. Ni UPUMBAVU.
Kama hana mamlaka ya kuamrisha kitu chochote tuonyeshe ni nani aliyeamrisha na ni nani aliyetekeleza shambulio la risasi zaidi ya 16.
Hivi bado mnaamini watanzania ni wapumbavu kama nyie mnavyojazwa upumbavu Lumumba?
Hiyo dhana ya kuogopana ni ya wendawazimu, ni major partner katika mustakabali wa siasa za hapa nchini. Kama unataka kwenda mbele huwezi kuvichukua vyama pandikizi bali mdau halisi ambaye ni CHADEMAKwa hiyo unadhani maridhiano ni kwa sababu CHADEMA mnaogopwa? Ndiyo mnavyodhani?
Kwa akili za bangi utaona hivyo, ila anasakamwa kwa ajili ya nafasi yake kama ofisa wa polisiMtoto wa kike anaitishia chadema,kweli makamanda mme rainiki
Sisi sio wapumbavu kama ninyiToeni habari nzima tuone kama kweli mnayo kama siyo kubumba bumba
Kwa hiyo upuuzi aliousema huyo askari unataka wenye akili waone ni mzaha?Mbona kuna ishu ngumu tu za kisiasa humu JF huwa zinaongelewa wakati mwingine kwa tafsida au kimzaha hivi......ndo maana wakati mwingine inabidi ujiongeze au uwe na uwezo kuvunja codes. Ni sawa na kusikia shabiki wa mpira akisema tunachinja mtu leo, hiyo haiashirii kwamba ni muuaji ila kaongea kwa muktadha wa ushabiki au utani........