Kama wewe unazo, zitaje. Zile za kubambikiwa za uchochezi, zote zilifutwa.Hivi Lissu hawezi kuwa na tuhuma dhidi yake polisi
Kwa nini polisi atamke hayo maneno kwa mwanasiasa??
Ndo maana nikasema inabidi muktadha utafutwe kwenye hayo maongezi, vinginevyo unaweza ukajikuta unatumia rungu kuua mbu.Kwa hiyo upuuzi aliousema huyo askari unataka wenye akili waone ni mzaha?
Kwenu wenye akili za hovyo mnaweza kutuambia hata Lissu kushambuliwa ilikuwa ni mzaha
Hakuna kitu cha kipumbavu kama askari polisi kwa mazingira yeyote kutamka maneno kama hayaNdo maana nikasema inabidi muktadha utafutwe kwenye hayo maongezi, vinginevyo unaweza ukajikuta unatumia rungu kuua mbu.
Kwa uovu wake, huyu shetani binti atatangulia kabla ya Lisu. Kwa ujinga, akiona kuna MSG amezipanga, anaona kama Ulimwengu wote ni wake, na amepewa madaraka ya nani aishi na nani aondoke.Unadhani bila kufuatilia watesi cdm otatoboa?Huyu Mtoto wa Mstaafu Gewe unadhani ajala yamini kufanya yale?
CCM ni ukoo wa panya—babu mwizi, baba mwizi, watoto wezi, wajukuu wezi, vitukuu wezi, vilembwe wezi na vining’ina wezi! Ukoo huu wa panya walikuwa wanasafiri katika boti la muhogo, lakini kwa sababu ya uroho wao, walianza kulitafuna boti! Kilichofuata ni ukoo mzima wa kizazi cha panya kuzama na kuangamia.CCM si watu wa kuaminika , Juzi Zanzibar wameiba uchaguzi baada ya Mwinyi kujidai kuweka tume ya maelewano, kumbe ni danganya toto , hata wiki haijafika kamrudisha mkuu wa Tume ya uchaguzi yuleyule aliyesababisha mauwaji.
Uchaguzi wa jimbo la Amani umekuja wamefanya yaleyale wanayofanya siku zote .
USIMWAMINI SHETANI
Hicho kisichana kina umri gani? Kwani kuwa muuaji ni lazima kiwe na umri gani?Na chochote kitakachomtokea huyo binti mnayemzushia huu ujinga mtakuwa wahusika hapa na mbinguni pia. Wajinga sana nyie mijitu mizima mnahangaika na kisichana kidogo. Na hii ni laaana ya chuki ya wale 19
Huyu anayesema wataendeleza pale walipoachia dhidi ya Lisu, alistahili kukamatwa mara moja maana anadhihirisha kuwa alikuwa miongoni mwa watekelezaji wa shambulio dhidi ya Lisu.Acheni kutengeneza tension isokuwapo,
Hapo yanalengwa mapokezi yajaze watu,
Si jambo baya,
Bt wananchi wasidanganywe, hakipo kitisho hicho mnachojaribu waaminisha watu.
Kale ushibe nafikiri mihogo inasumbua tumboni!Mimi nikikupata nitakuua kwa kutumia silaha yoyote Kwasababu nakujua vizur.
Na bado unalala mlango wa kuwaamini wao!Jeshi jili bado limejaza wajinga wengi wasiojielewa, wasio na mbele wala nyuma.
Joyce Gewe wacha kiherehere,kwa kuku expose tu inatosha.Hamuwezi kumfanya lolote wala chochote
Anayo ila amekeketwaChura anayo au
Ova
Hivi unaamini kwamba kila kitu suluhisho huwa ni mahakamani? Fikiria kuna nchi, mpaka Rais huwa anaondolewa madarakani bila ya kupelekwa mahakamani.Je, kama alisema hayo akimaanisha 'wanaye' kwa Usalama wake mtabisha pia? Mpelekeni mahakamani basi tuone kama kuna mshiko wowote ule. Wacheni kuchafua watu wasiokuwa na hili wala lile.
Makaburi yatafukuliwa, bahari maziwa mito na visima vitakaushwa, Mawe yatarudishwa milimani, kujua Ukweli.
Chagueni kwa Uangalifu, piga Kura yako kwa Uangalifu 2025 ...
kwa yanayojiri, inawezekana hata Mkuu M. Melo anafikiria Sheria ya Mitandaoni mara mbili mbili. Muda ni Mhukumu mzuri.
Kwa hiyo wewe unaona ni sahihi watu kuuawa, na mambo yakapita tu!hizo ni cheap polits siasa za kijinga sana na only watu wajinga kama ww ndio mnaingizwa kwenye hiyo mitego ya wajinga
watu wote tanzania waliopata madhara ya kupigwa risasi na watu wasiojulikana serika ilikama hao watu? who is tundu lissu? why jambo lake unaweka mbele kama yy ni mtu maalum?
umesahau watu walipigwa na walikufa mtwara? zilipigwa risasi na mabomu mpaka leo watu vilema? why you dont say anything about them?
hivi kwa akili yako serikali ikitaka kumuua lissu watashindwa? si wanapiga bomu tu nyumbani kwake?
unataka kufanya lisu kama ni kiumbe pekee cha kupewa uangalizi pekee for what?
acha ujinga
Likimapata lolote lisu huyu aombe isitokee tutamtafuta mpaka chini ya bahari.Na chochote kitakachomtokea huyo binti mnayemzushia huu ujinga mtakuwa wahusika hapa na mbinguni pia. Wajinga sana nyie mijitu mizima mnahangaika na kisichana kidogo. Na hii ni laaana ya chuki ya wale 19
Hiki ni kitendo cha ajabu sana wanachotaka kukifanya CCM kupitia huyo poliCCM. Mungu atawashughulikia wote mnaopanga njama za kumuua Lissu kwa mara ya pili. Ikiwa dikteta aliyepanga kumuua Mungu amemshughulikia kwa namna ya kipekee, sidhani kama hawa MACHAWA wa sasa wataweza. Wao wana shetani, CHADEMA wanasimama na Mungu. Na tukumbuke Mungu hashindwi na wala hajawahi kudhihakiwa.Wana JF
Tunawashukru wapekenyuzi kwa umakini wao kupata taarifa na picha za Police wa Kike anayejinasibu kumshughulikia Tundu Lissu atakapokuwa amewasili nchini.
Habari hizi zinaongeza wasiwasi kwa aliyetumwa kulinda raia na mali zake kujiingiza kwenye siasa wakati Mkuu wake wa kazi akiwaasa kuachana na siasa za visasi bali kujibu hoja zenye mashiko za upinzani.
Awali ya yote zilipatikana message za kundi sogezi akijinadi kumshughulikia Mwenyekiti msaidizi wa CDM
View attachment 2483105
Mtu mwenye nia ovu haijalishi jinsiaKwahiyo ulitarajia ACT ichukue jimbo moja tu kati ya majimbo zaidi ya 20 ya uchaguzi yaliyoporwa?
AmeeniCHADEMA wanasimama na Mungu. Na tukumbuke Mungu hashindwi na wala hajawahi kudhihakiwa.