Exactly. Na uovu haupimwi kwa kutazama sura ya mtu. Wenye sura nzuri ndio wenye roho mbaya zaidi.Mtu mwenye nia ovu haijalishi jinsia
Hahaaa kweliExactly. Na uovu haupimwi kwa kutazama sura ya mtu. Wenye sura nzuri ndio wenye roho mbaya zaidi.
Sagai mbona unatoa hukumu bila ushahidi. Acha vyombo husika vifanye kazi yakeHuyu ni wa kutiwa kiberiti tu kama kibaka wa kawaida
Kwa hiyo wewe unaona ni sahihi watu kuuawa, na mambo yakapita tu!
Ninyi wauaji, inapofika zamu yenu huwa mnageuka na kutaka huruma. Kama unaona kufa binadamu mwenzako ni sawa, bqsi iwe sawa pia kwako.
Wewe umebadilisja mazingira yapi?Ama kweli chadema chama cha mtukio,
Wamepata pakupigia domo..
Hili likiisha watakaa kimya mama Samia akifanya uteuzi watapata lingine
Hawana hoja,
Hawaongei na kufanya maamuzi kubadilisha mazingira, wanasubiri mazingira yabadilike waongee.
SASA HIVI CHAMA CHOTE KIMEMRUKIA HUYU DADA MASKINI.
AFRICA SI UPINZANI WALA CCM WOTE WAJINGA
Labda walishiriki dodoma,au ndio wale askari waliokuwa zamu dodoma
Yuko bado hapo Muda tu,kuna jamaa anaitwa mujwambusi na kijana mwingine jumla wa3 wanashirikiana hawa.
Tunaye Ina maanisha ya tunae ile ya tukio lililomkutaHili swali nauliza kwa wajuzi wa sheria,hiyo kauli ya "akirudi tunaye" inaweza kutumika kumtia muongeaji hatiani? "akirudi tunaye" tunaye wapi? tunae nyumbani? tunae kwenye majukumu? tunaye kwenye siasa? tunaye kwenye kujenga nchi? tunaye kivipi? Isije kuwa Chadema wanatafuta mitaji midogo kwa ajili ya siasa zao changa.
Humu JF kuna watu mnaujinga umepitiliza! Hilo suala la huyo polisi lini umeona tamko la chama? Sasa unakihusishaje chama na kauli za baadhi ya wanachama kujusiana na mawazo yao juu ya mhalifu hata kama mhalifu huyo ni mtumishi wa dola?Ama kweli chadema chama cha mtukio,
Wamepata pakupigia domo..
Hili likiisha watakaa kimya mama Samia akifanya uteuzi watapata lingine
Hawana hoja,
Hawaongei na kufanya maamuzi kubadilisha mazingira, wanasubiri mazingira yabadilike waongee.
SASA HIVI CHAMA CHOTE KIMEMRUKIA HUYU DADA MASKINI.
AFRICA SI UPINZANI WALA CCM WOTE WAJINGA
Yaani Hawa wamekosa kazi. Labda kama Wana mwendelezo wa chat vinginevyo wanapoteza mdaHili swali nauliza kwa wajuzi wa sheria,hiyo kauli ya "akirudi tunaye" inaweza kutumika kumtia muongeaji hatiani? "akirudi tunaye" tunaye wapi? tunae nyumbani? tunae kwenye majukumu? tunaye kwenye siasa? tunaye kwenye kujenga nchi? tunaye kivipi? Isije kuwa Chadema wanatafuta mitaji midogo kwa ajili ya siasa zao changa.
Hapo ndipo watz wanapokinaisha! Vyombo vipi? Huyu ni senior kwenye hivyo vyombo. Je ni hatua gani toka lile shambulio la kwanza kwa mhusika? Tafakari CHUKUA HATUASagai mbona unatoa hukumu bila ushahidi. Acha vyombo husika vifanye kazi yake
Mtu kuanza kujihoji na kujishuku, mpaka itumike lugha sanifu kujiweka sawa kiakili?Hili swali nauliza kwa wajuzi wa sheria,hiyo kauli ya "akirudi tunaye" inaweza kutumika kumtia muongeaji hatiani? "akirudi tunaye" tunaye wapi? tunae nyumbani? tunae kwenye majukumu? tunaye kwenye siasa? tunaye kwenye kujenga nchi? tunaye kivipi? Isije kuwa Chadema wanatafuta mitaji midogo kwa ajili ya siasa zao changa.
Huyo dada askari ni wa kumsamehe tu buree, (mitandao huwa na mengi yakiwamo ya kutaniana na mengi tu ya kimasihara kwani tukumbuke askari ni mwanadamu, hivyo kazi yake isimuhukumu aidha kumuondoa kwenye kundi la ubinadamu)Wana JF
Tunawashukru wapekenyuzi kwa umakini wao kupata taarifa na picha za Police wa Kike anayejinasibu kumshughulikia Tundu Lissu atakapokuwa amewasili nchini.
Habari hizi zinaongeza wasiwasi kwa aliyetumwa kulinda raia na mali zake kujiingiza kwenye siasa wakati Mkuu wake wa kazi akiwaasa kuachana na siasa za visasi bali kujibu hoja zenye mashiko za upinzani.
Awali ya yote zilipatikana message za kundi sogezi akijinadi kumshughulikia Mwenyekiti msaidizi wa CDM
View attachment 2483105
Hiyo kauli ina uzito wa kutosha kuweza kuwafanya mpate mada ya kujadili huku mitandaoni. Vinginevyo sikilizeni wanaompa amri huyo mtoa kauli wamewahakikishia nini.Mtu kuanza kujihoji na kujishuku, mpaka itumike lugha sanifu kujiweka sawa kiakili?
Lugha za mtaani haziwezi kukuamshia ubongo wako katika kutafakari jambo na kuchukua hatua au tahadhari?
Maana hapa haijaongelewa kesi wala nini ujue!
Labda mkuu tukuulize hii kauli ya: "akirudi tunaye", ikawa inakuongelea wewe unayesafiri ndani ya basi na mawasiliano hayo umeyanasa yakifanywa na mapolisi, waweza ukaitafsirije hali utakayoipata stand baada ya kuwasili?
Hauwezi ukateremkia njiani ili kujihami na mabalaa yanayoweza kuepukika?
Bad loserJoyce Gewe wacha kiherehere,kwa kuku expose tu inatosha.
Mpuuzi apuuzwe na ashughulikiwe sawasawa na matakwa ya SHERIA,Huyu anayesema wataendeleza pale walipoachia dhidi ya Lisu, alistahili kukamatwa mara moja maana anadhihirisha kuwa alikuwa miongoni mwa watekelezaji wa shambulio dhidi ya Lisu.
Sometimes ni vizuri kufikiri beyond limits, waswahili husema "kufikiri nje ya box"Mkuu kwako tarehe 25 ni mapema na 21 ni mbali?
We akili tumelewa na ndiyo maana la Gewe limezukaSometimes ni vizuri kufikiri beyond limits, waswahili husema "kufikiri nje ya box"
.Humu JF kuna watu mnaujinga umepitiliza! Hilo suala la huyo polisi lini umeona tamko la chama? Sasa unakihusishaje chama na kauli za baadhi ya wanachama kujusiana na mawazo yao juu ya mhalifu hata kama mhalifu huyo ni mtumishi wa dola?
Huu ni ujinga. Wanachama na wafuasi wa CCM always wanajadili mambo ya kijinga sana kama ndoa za Zuchu, Ndoa za Manara nk badala ya mfumuko wa bei, gharama za maisha na ufisadi lakini hakuna aliyeituhumu CCM kuwa mijadala hiyo ni yake!
Subirini tamko la chama, na kuhusu ajenda za mikutano nenda kasikilize ili ikutoe kwenye undezi
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Kesi ya nyani umpelekee hakimu nyani?Sagai mbona unatoa hukumu bila ushahidi. Acha vyombo husika vifanye kazi yake