yassin alluy
Member
- Feb 4, 2017
- 27
- 64
Tuambie chochote maana zinakimbiliwa sana nyakati hizi kwasababu ya utumiaje wa mafuta ila je nini udhaifu wake ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
The golden amejibu vema... Epuka gari yenye cc ndogo maranyingi sio imara... Kama unataka gari yenye cc ndogo basi opt Suzuki Gypsy, Jimmy au Samurai na kwenye Toyota opt DuetTuambie chochote maana zinakimbiliwa sana nyakati hizi kwasababu ya utumiaje wa mafuta ila je nini udhaifu wake ?View attachment 1047365
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Duet ni imara kuliko Vitz?The golden amejibu vema... Epuka gari yenye cc ndogo maranyingi sio imara... Kama unataka gari yenye cc ndogo basi opt Suzuki Gypsy, Jimmy au Samurai na kwenye Toyota opt Duet
Jr[emoji769]
. vpi kuhusu Toyota rushThe golden amejibu vema... Epuka gari yenye cc ndogo maranyingi sio imara... Kama unataka gari yenye cc ndogo basi opt Suzuki Gypsy, Jimmy au Samurai na kwenye Toyota opt Duet
Jr[emoji769]
Yeah na vitz zina ugonjwa wa gearbox usioponaMkuu Duet ni imara kuliko Vitz?
Sio imara pia hasa kwenye lower arms na ball joints.. Hapa nazungumzia zile old model. vpi kuhusu Toyota rush
Sio imara pia hasa kwenye lower arms na ball joints.. Hapa nazungumzia zile old model
Jr[emoji769]
Hapana pia ractis nazo ni generation hiyo hiyoUna ujuzi na RACTIS ? Maana nilikua na option 2 ila naona PASSO ni vibovu sana bora sasa niwaze RACTIS sijui uimara wake
Sent using Jamii Forums mobile app
Chukua toyota carina.gar nzur na inanusa mafuta.elf5 unafika mjin
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuuu PASSO ni ugonjwa wa moyo, hapa niko garage kuhangaika nayo, yaani ukitengeneza tatizo hili nanaanza hili ni shida aiseTuambie chochote maana zinakimbiliwa sana nyakati hizi kwasababu ya utumiaje wa mafuta ila je nini udhaifu wake ?View attachment 1047365
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha haaa mwisho wa siku inafikia pesa ya kununua gari kubwa tuMkuuu PASSO ni ugonjwa wa moyo, hapa niko garage kuhangaika nayo, yaani ukitengeneza tatizo hili nanaanza hili ni shida aise
mi ninayo Passo toka 2015,nipo nako hadi leo,ila kangu kana gonga sana miguu ya mbele,niliacha kitengenenza maana nakaa makorongoni nakaumiza we acha tu,...vigari vidogo shida sana,nikimaliza mkopo tu nakauza
Ki-ukweli Carina ni gari ngumu .Ni gari inayovumilia shida .Ni gari ya watu wenye kipato cha chini. Gharama za kuitunza ni za chini kabisa.Chukua toyota carina.gar nzur na inanusa mafuta.elf5 unafika mjin
Sent using Jamii Forums mobile app