Anayetumiwa na CHADEMA kuvujisha SIRI za wateja wa TIGO huyu hapa

Anayetumiwa na CHADEMA kuvujisha SIRI za wateja wa TIGO huyu hapa

Status
Not open for further replies.

utaifakwanza

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2013
Posts
14,193
Reaction score
2,813
Habari wanajukwaa.

kwa muda mrefu sasa kumekuwa na sintofahamu kutoka mitandao ya simu hapa nchini ambapo mawasiliano ya watumiaji wa simu yamekuwa yakianikwa hadharani bila ridhaa yao..

kazi hii inafanywa na CHADEMA kwa kumtumia mtaalamu wa IT wa kampuni ya TIGO anayeitwa CARLOS ROBETO ROSALES maarufu kwa kifupi rosa anayetumia simu NO. (tumehifadhi) EMAIL
(Tumehifadhi)

Chadema inawatumia watu kadhaa kwenye makampuni ya simu akiwemo Rosales/rosa wa Tigo na inamlipa fedha nyingi kwa kazi hiyo na taarifa anazozitoa huongezwa chumvi kwa maslahi ya kisiasa..

Mimi mzalendo kwa nchi yangu na ambaye naipenda chadema yangu, nimechoshwa na tabia hii, nimewasihi viongozi wenzangu ndani ya chama kuacha tabia hii ya kuwapaka watu matope kwa kutumia mawasiliano ya simu na kuyakoleza chumvi lakini hatusikilizwi matokeo yake hiki kitu kimeendelea kujirudia mara kadhaa.Ni bora sasa umma ulijue hili.

Naomba mamlaka zinazohusika zimfuatilie Rosales na kuangalia kama anastahili kuendelea kuwepo hapa nchini na kama sio tishio kwa usalama na umoja wa nchi yetu na watumiaji wa simu watahadharishwe juu ya kukosekana uaminifu kwa wamiliki wa mitandao ya mawasiliano hasa TIGO.. Tunayo mawasiliano ya email kati ya Rosales, na moja ya viongozi waandamizi wa chadema, na DR SLAA ambayo kwa sasa hatuyaweki hapa.

huyu mzungu ndio Rosales.



View attachment 93564
 
Chadema hawana maadili kabisa!!!

Kuiba mawasiliano binafsi ya watu ni sawa na KUPIGA CHABO...

chabo.JPG

chabo2.jpg
 
daah, sasa mambo hadharani, tutayajua mengi mwaka huu
 
Chadema sasa wanaweweseka sana. Wanasababisha watu wanakosa ajira kwa ujinga wao kama alivyofanya kubenea
 
Kuna kitu kinaitwa data protection act sijui kama huko nyumbani kipo.
 
hii sasa iwafundishe chadema kufanya siasa za kistaarabu, kuwatumia watu wa makampuni kuhujumu wananchi wasio na hatia kufatilia mawasiliano yao ni usaliti mkubwa
 
Mmh, kazi ipo
Hivi baba koku anaweza kumlipa huyu kweli?:angry: Am safe bana.
cc Bishanga
 
Last edited by a moderator:
Na bado zipo taarifa nyingi sana.....mtaumbuka sana mafisadi.
 
hii sasa iwafundishe chadema kufanya siasa za kistaarabu, kuwatumia watu wa makampuni kuhujumu wananchi wasio na hatia kufatilia mawasiliano yao ni usaliti mkubwa

Mpaka mwaka huu uishe Chadema itakuwa imewasababishia visukari na BP viongozi wengi wa CCM
 
slaa ni janga la amani na mshikamano wa taifa letu
 
Kwa tabia hii ya chadema kufanya siasa chafu na kujifanya wao ndo usalama wa taifa ni vyema vyombo husika wakachukua hatua. Waache udhaifu
 
Pia mleta mada anaweza kuwa ni IT wa tigo hivyo anawivu na anataka huyo mzungu wa mtoe kwa majungu yake ili arithi nafasi hiyo wivu tu. We kilaza tu.
Msimtetee mzungu. Kama anatumika ni vyema ikabainika
 
Ingekuwa ni upande ule mwinginr ungeona coments kibao lkn kwa kuwa jambo hili limegusa wakosa nidhani mmeona aibu na kunyamaa kimya
 
chadema hakiwatendei haki wananchi kwa kuingilia mawasiliano yao
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom