Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,951
- 9,977
Mkuu udukuzi wa mawasiliano hauruhusiwi hata hapa Tanzania. Ni kosa la jinai kufanya hivyo. Nadhani Polisi wataruka na huyo Rosa ili wacheze naye ngoma.Kuna kitu kinaitwa data protection act sijui kama huko nyumbani kipo.
Mkuu kizazichadotcom hivi huyu Rosa ni Mswahili ama Mkoloni (Mzungu)?
Last edited by a moderator: