ilboru1995
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 2,329
- 269
chadema wanaliharibu taifa
Huyu mzungu baona anatumiwa na mataifa ya nje. Kwa dr slaa ni kupitia tu maana chadema pia hutumiwa na mataifa adui
Gamba anatumika vibaya huyu. Lazima vyombo vya dola vichukue hatuaDu, mnawaboa mpaka wazungu, kweli magamba mnachukiwa kwelikweli.
Hii ingekuwa ni dhidi ya CCM ungeshuhudia matusi, kejeli, na maneno mengine yote ambayo kumwaibisha mlengwa ila kwa sababu ni CHADEMA. futeni yabaki matusi, kashfa za watu na dharau dhidi ya wasiokuwa CHADEMA JF nashangaa ilivyokaa ki-CHADEMA. tuambieni kama sisi tusiokuwa na chama hapa si mahali petu?
Inatuuma sana maana wengine tumepoteza kazi kutokana na upuuzi wa mtu mmoja tuACHENI USHAMBA SASA HATA KAMA ANATOA SIRI WEWE UNAONA UBAYA GANI AU UBAYA TZ KUPATA UKWELI WA MAWASILIANO MACHAFU YA MABOSI WAKO WA CCM..UBAYA WA CDM NI NINI HAPO KUPATA SIRI CHAFU!?EMBU WEKA REF 1 YA DATA ZILIZOPIKWA NA KAMA ZINAPIKWA KWA NINI SASA ATUMIKE HUYO MZUNGU!?UNALALAMIKA KWA KUWA ANATOA DATA ZA MABOSI WAKO AU MMETAKA AWAPE DATA AMEWATOSA SASA KAMA KAWA MNAMPANDIKIZIA TUHUMA ZA ugaidi KAMA KAWAIDA YENU
PRIVACY IPO LAKINI AS LONG AS HAJANG'OLEWA KUCHA KUTOA HAYO MAELEZO BASI KAYATOA KWA MOYO WAKE NA KWA NIA NJEMA KWA WATANZANIA...NDIO MAANA YA POLISI JAMII..TATIZO AMEAONA AKIWAAMBIA POLICCM HAWATAFANYIA HAKI HIZO TAARIFA...
NA KWA TAARIFA YAKO HATA CUSTOMER SERVICE WANAWEZA KUONA MAELEZO NA TAARIFA NA RECORDS ZA WATEJA....SO POPOTE DATA ZINAWEZA KUPATIKANA.....!!!!!!HATA KAMA WAMEWASILIANA NA SLAA KUPEAWA TAARIFA ZA UBAYA WA CCM NA MIPANGO YAO MICHAFU WEWE KINAKUKERA NINI KAMA UNAITAKIA NCHI HII MEMA...NAKUULIZA TENA NINI KINAKUUMA WEWE PUMBAVU WEWE...PUMBAVU KABISA WEWE:angry:
hii sasa iwafundishe chadema kufanya siasa za kistaarabu, kuwatumia watu wa makampuni kuhujumu wananchi wasio na hatia kufatilia mawasiliano yao ni usaliti mkubwa
Afukuzwe kwa ugomvi binafsi? we vipi?
Kama usalama wa taifa unaripoti kwake, iweje yeye mwenyewe kila siku analialia kuwa tiss inamhujumu pamoja na chama chake?Usalama wa Taifa unaripoti kwa Slaa, ikikuuma vumilia
Sure mkuu. Kwa sasa watu wataacha kuwasiliana kwa uhuru na wapenzi wao maana kwa jinsi nimjuavyo dr slaa atanogewa na ataanza kufuatilia kwa tamaa zake za kimapenzi. Babubwana wala hachoki. Au ndo analipiza ujana wake alioupoteza kwa kuwa padri
Kama usalama wa taifa unaripoti kwake, iweje yeye mwenyewe kila siku analialia kuwa tiss inamhujumu pamoja na chama chake?
Kama ni hivyo mkuu, basi mabere marando ndo mtu wa kwanza kupuuzwasasa utatuhakikishia vipi kuwa hizi taarifa zako hazina maslai ya kisiasa? me naona hata kama ni huyu basi ni mzalendo sana na nchi yetu maana kaepusha mengi zaidi hasa njama za kuwanyamazisha waandishi wa habari.
alaf kama ni hivyo utashindwa maana kutoa namba ya mtu hapa wala si ushahidi wa tuhuma zako.
Kweli Mabere Marando amewashika kweli kweli.