Anayetumiwa na CHADEMA kuvujisha SIRI za wateja wa TIGO huyu hapa

Anayetumiwa na CHADEMA kuvujisha SIRI za wateja wa TIGO huyu hapa

Status
Not open for further replies.
We utamuwa una chuki binafsi kwa Rosales, sijui alikutongoza ulipomkubalia akahamia tiGO bila ridhaa yako!
Unatoaje tuhuma bila ushahidi?
Upumbavu mwingine bana.....
 
Nyinnyi em bana, mumeona kung'o makucha na meno bila ganzi, video za kupika, mabomu na risasi za moto zimeshindwa kuwatoa sasa mmekuja kivingine?? kweli CDM ni moto wa ukombozi Tanzania! Hizi ni pepo tu nazo zitapita!
Tuambie nawe umelipwa kiasi gani kuleta hii takataka hapa jamvini!???
 
Niaminije kuwa unachokisema ni kweli????
CHADEMA hawawezi kufanya upuuzi kama huo nyie pikeni kashfa zenu mkidhania tutawaunga mkono.
 
Mkuu, kama huamini hoja taarifa hii sijui utaamini taarifa gani

Aje na jina lake halisi kama kweli anayoyasema yana ukweli, afu vipi na kule voda na airtel na zantel yupo huyohuyo Rosales!?? I smell something fishy...! Mbona taarifa iko juujuu, what are clues to make us believe him.. Anashindwaje kuja mtu mwingine yeyote mwenye nia yake akaandika kama huyu mleta.mada!?
 
Thread ni ya kupangwa na magamba ona yalivofuatana na picha za ku copy na ku paste hv hamshangai wadau jamaa kawa wa pili akawahi kubandika picha topic hot kama hii its a setup we know!!hii ndo zawadi mliyorudi nayo china?mnataka kutusahaulisha kuhusu TUSKER?

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
wanaJF,

Ninamchallenge kizazichadotcom, aweke hadharani hizo emails anazotaja! Vinginevyo ni upuuzi tu.

Naomba niwajulishe WanaJF kuna watanzania wema, wenye dhamira safi, wanaoelewa utawala bora, na wenye uchungu na Taifa hili. Ndio wanaotoa Taarifa ya aina zozote za uhalifu. Kumbuka uhalifu ni uhalifu, kutoa siri ya uhalifu ndani ya chombo chochote cha sheria au kupitia chombo cha Serikali ni jambo na kitendo cha kizalendo. Asiyekubali kuwa sehemu ya bozo na uchafu ni jukumu na wajibu wake kuweka hadharani.

Kumbukeni Marmo aliposema Bungeni Dr Slaa tutakukanata, jibu langu lilikuwa jepesi, "Marmo" tutakukamata wewe kwa kuwa ndani ya kabuki za Serikali haitakiwi kuwe na uozo wala uchafu wowote ule. Hivyo Chadema hatuhitaji kulipa wala kununua document yeyote ile kwa kuwa watanzania wengi bado wana dhamira safi hivyo wanapotoa wanatoa nyaraka kwa uzalendo.
 
Kaka nimezungumza na mfanyakazi (senior) wa Tigo sasa hivi akasema huo ni upuuzi. Haiwezekani hata kidogo. Hawa jamaa wanafuata international standard under UN policies. Sio kama TISS yenu.
 
Mmeumbuka na habari zenu kujulikana sasa hamna jipya kina Mwigulu mmefunga midomo
 
Nenda polis kwani hapa central.,mtafute Kova umwambie yeye ndio mratibu wa muvi..
 
Hakuna cha kupika. Naiamini taarifa hiyo kwa asilimia mia moja maana jamaa kaweka contact za mhusika zote

Kama hoja ya uaminifu ni weka contacts basi nadhani hata ile taarifa ya mabere marando hukuikana......maana ile ndo ilishehena izo contact.
 
Acha uzushi kuna taratibu za kufuata ili uweze kupewa mawasiliano ya mtu yeyote hata ww ukitaka.
Tunataka utuambie CDM walifuata au hawakufuata utaratibu kupata hayo mawasiliano?
 
mleta mada embu tupe hayo mawasiliano aliyovujisha huyo mzungu na analipwa kiasi gani.
ili tujue huna wivu naye
 
Hakika kama anatoa taarifa za kufichua magaidi kupitia simu basi tunahitaji kumshukuru kipekee sana wala tusimdhihaki. Ukiambiwa fulani anataka kukuibia utamlaumu aliyekuambia kwa kuvujisha siri? La hasha
 
Chadema chadema chadema ......
Hapo tunakoseana heshima na uhuru binafsi
 
Acha uzushi kuna taratibu za kufuata ili uweze kupewa mawasiliano ya mtu yeyote hata ww ukitaka.
Tunataka utuambie CDM walifuata au hawakufuata utaratibu kupata hayo mawasiliano?

Kamanda Dr Slaa ameshakujibu sawia! Raia wema hutoa taarifa za uhalifu! Tena Jeshi letu la Polisi na Serikali yetu tukufu hutoa vishawishi kama ahadi za pesa kutoa taarifa zinazowezesha kuweka uwazi uhalifu! Haijalishi taratibu ulizotumia ilmradi uhalifu uthibitike! Kuna shida hapo? Au unataka utuibie tukae kimya kwa kuwa tu unajiita una kinga eti Data Protection Act! Ni nini hicho? Kiru!
 
watu kama hawa wanapobainika na makosa kama haya kwanini wanaachwa wanaendelea kuharibu nchi??? sheria za TCRA zinasemaje??? vp kuhusu sheria za kimataifa kuhusu watu kama hawa
 
Mtoa hoja kweli wewe ni dotcom kwani unataka kulikemea kosa kwa kufanya kosa.sijaona umakini wako.

Siri,siri,siri .
Ukimficha mtu anayewindwa na majambazi kwa kigezo cha siri huyo mzalendo akiuawa damu yake i juu yako.
 
si kweli bwana waombe tigo msamaha kwa kuandika uongo humu.
 
Kama ni taarifa na mawasiliano ya uhalifu na ya kupanga njama za kudhuru wengine,mimi nampongeza yeyote atakayewezesha kupatikana kwa taarifa hizo ili kuzuia njama au uhalifu huo!!.

Huyo ndiye MZALENDO WA KWELI!!!..
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom