Under-cover
JF-Expert Member
- Nov 13, 2023
- 1,834
- 3,042
- Thread starter
- #21
Mama mwenyewe baadae aliniambia vile alivyoota na kunisisitizia niwe nasali, nisiwe naacha.Hauchezewi mimi nimtafsiri tena nibure kabisa si uongo wa mitandao, anayekuchezea ni mama yako sali sana kwasababu mama yako yupo kwenye makundi ambayo amejiunga nayo na sasa yanakuhitaji, kwa lolote wanachotaka kufanya , ukiona mama yako anaumwa mguu ujue wameshindwa ukiona amepona ujue unatumika mwombe mungu sana ukiwa kwenye taja hata jina la BWANA YESU KRISTO MWOMBE MUNGU ALIYE HAI AKUTOE MAZINGIRA hayo kwani unapocheka inamaanisha hauwaogopi wanapokufuata inamaanisha wanakuhitaji kwa kazi yao unapoingia kwenye banda ni umejificha alipokubeba inamaanisha walifanikiwa kukupata kisha ukapotea ndiyo maana unasikia sauti ikikuita kwasababu huonekani kwenye ndumba zao sali sana mpendwa hiyo ni hatari, akiumwa tena zidi kusali uko kwenye mazingira mabaya kiimani , unapoambiwa na watafsiri kwamba unachezewa na mtu wakaribu inamaanisha huyo unayoongea naye, uswambie mama yako ndoto zako tena jaribu kuwaambia watu wengine Mungu akubariki sana na akulinde kila baya linaloendea kuharibu maisha yako ninakemea kwajina la YESU KRISTO Aliye hai.
Au na yeye hajui chochote labda wanamtumia?
na hapo vipi uliposema nisimwambie ndoto zangu, hapa sijakuelewa, ndoto za kimafanikio ya kiuchumi au ndoto gan?