Anayeweza kuitafsiri hii ndoto anisaidie

Mama mwenyewe baadae aliniambia vile alivyoota na kunisisitizia niwe nasali, nisiwe naacha.
Au na yeye hajui chochote labda wanamtumia?

na hapo vipi uliposema nisimwambie ndoto zangu, hapa sijakuelewa, ndoto za kimafanikio ya kiuchumi au ndoto gan?
 
Wee jamaa acha kuchosha watu na mandoto yako ya nguvu za giza! Kuna Member mmoja hapa mwenye avatar ya mzee hivi (I guess) alikutafsiria vizuri tu! Wee endekeza kushobokea mandoto ya kichawi utadata!
 
Mama mwenyewe baadae aliniambia vile alivyoota na kunisisitizia niwe nasali, nisiwe naacha.
Au na yeye hajui chochote labda wanamtumia?

na hapo vipi uliposema nisimwambie ndoto zangu, hapa sijakuelewa, ndoto za kimafanikio ya kiuchumi au ndoto gan?
Kwasababu hujui ni nani ni adui, wewe unahisi huna adui lakini huwezi kupendwa na kila mtu, ukiwaambia watajuwa kuwa wewe unafahamu wanachofanya kila watatumia njia nyingine,yatakusanywa majeshi unaweza kupambana nayo??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…