InnovatorTz
Member
- Jul 1, 2016
- 23
- 23
- Thread starter
- #21
#NiTanzaniaPekee Laini za simu (Idadi ya Laini za simu na watumiaji wa mtandao) ni wengi kuliko idadi ya watanzania kwa ujumla
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuuuuuuuuu#NiTanzaniaPekee mtu anathamini sana kula mizizi ili kuimarisha nguvu za kiume kuliko wakati ulaya mtu anakula mizizi na diet mbalimbali akizingatia kuna faida zipi katka ubongo wake na Afya ya akili yake
Hahahaaaa! Daah! Mdenmark umeamua kuwachokoza naona 😀😀#Ni Tanzania pekee watu wanalala na mawani usiku hili waone ndoto vizuri