Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 33,894
- 76,810
Nikawaida kwenye comments ukiona jina utalisoma na kulitamka kimyakimya(kimoyomoyo).
Usibishe huwa unafanya hivyo. Sasa kwenye utamkaji najua tunatamka tofauti-tofauti.
Taja jina la mwa JF na unavyolitamka kimya kimya pindi usomapo jina lake uone tunavyotofautiana katika utamkaji.
nitaanza.
BAK = Baek
bbade =bibade
Karucee =karusee
Usibishe huwa unafanya hivyo. Sasa kwenye utamkaji najua tunatamka tofauti-tofauti.
Taja jina la mwa JF na unavyolitamka kimya kimya pindi usomapo jina lake uone tunavyotofautiana katika utamkaji.
nitaanza.
BAK = Baek
bbade =bibade
Karucee =karusee