Andika jinsi unavyolitamka kimoyomoyo jina la member wa JF.

Andika jinsi unavyolitamka kimoyomoyo jina la member wa JF.

Daby

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2014
Posts
33,894
Reaction score
76,810
Nikawaida kwenye comments ukiona jina utalisoma na kulitamka kimyakimya(kimoyomoyo).

Usibishe huwa unafanya hivyo. Sasa kwenye utamkaji najua tunatamka tofauti-tofauti.

Taja jina la mwa JF na unavyolitamka kimya kimya pindi usomapo jina lake uone tunavyotofautiana katika utamkaji.

nitaanza.

BAK = Baek

bbade =bibade

Karucee =karusee
 
Back
Top Bottom