Andika jinsi unavyolitamka kimoyomoyo jina la member wa JF.

Andika jinsi unavyolitamka kimoyomoyo jina la member wa JF.

Nikawaida kwenye comments ukiona jina utalisoma na kulitamka kimyakimya(kimoyomoyo).

Usibishe huwa unafanya hivyo. Sasa kwenye utamkaji najua tunatamka tofauti-tofauti.

Taja jina la mwa JF na unavyolitamka kimya kimya pindi usomapo jina lake uone tunavyotofautiana katika utamkaji.

nitaanza.

BAK = Baek

bbade =bibade

Karucee =karusee
Nimekugundua kuwa matamshi yanakushinda kabisa mkuu.
 
Nikawaida kwenye comments ukiona jina utalisoma na kulitamka kimyakimya(kimoyomoyo).

Usibishe huwa unafanya hivyo. Sasa kwenye utamkaji najua tunatamka tofauti-tofauti.

Taja jina la mwa JF na unavyolitamka kimya kimya pindi usomapo jina lake uone tunavyotofautiana katika utamkaji.

nitaanza.

BAK = Baek

bbade =bibade

Karucee =karusee
Daby = Dabi

Beef Lasagna = Bifu lasagna

moneytalk = manetoku

Asprin = Asprin

Sky Eclat = Skei ekleti

Hajar = Haja

ukhuty = ukhti

carbamazepine = kabamazepaini

jakitoo = jakituu

Demiss = demisi

N.k
 
Back
Top Bottom