Watu wasiojulikana wamerundishwa kundini na pastor asiyejulikana kanisaniWatu wasiojulikana hawapendi kwenda kanisani,na hili kuwarudisha huko imemubidi Mchungaji wa Mtandaoni Online Pastor awazukie mtandaoni ili kuwapata na kuwarudisha kundini!
Kwahiyo watu wasiojulikana wanawatawala watu wasiojulikana?Watu wasiojulikana ninawaogopa,wameshika mpini.Watu wasiojulikana ni manyapara wa hii 'nanihii' yetu iliyokuwa kisiwa cha amani not so long time ago.