Mwabhleja
JF-Expert Member
- Jan 27, 2016
- 1,351
- 2,061
Kwanza natuma salamu kwa watu wasiojulikana waliopo TUKI, CHAWAKAMA, BAKITA na BASATA.
Kwa kifupi niseme tu...kiswahili kitukuzwe.
Twende kwenye mada, thread hii ni maalumu kwetu sote naanza na TUNGO Tatu fikirishi:
1.Watu wasiojulikana ni member wa JF
2.Wastaafu wasiojulikana wanawashwa, isipokuwa wastaafu wa mahakama tu.
3.Watu wasiojulikana walimpigia kura Juma Pundamilia Maharage.
#Watu_Wasiojulikana....
Kwa Hisani Ya Watu Wa Mbeya!
Kwa kifupi niseme tu...kiswahili kitukuzwe.
Twende kwenye mada, thread hii ni maalumu kwetu sote naanza na TUNGO Tatu fikirishi:
1.Watu wasiojulikana ni member wa JF
2.Wastaafu wasiojulikana wanawashwa, isipokuwa wastaafu wa mahakama tu.
3.Watu wasiojulikana walimpigia kura Juma Pundamilia Maharage.
#Watu_Wasiojulikana....
Kwa Hisani Ya Watu Wa Mbeya!