Andika usichokipenda humu JamiiForums

Andika usichokipenda humu JamiiForums

ahahah sasa wewe ule msemo wa kusema wanwake wa jf wanajiuza utatamalaki hapa !
dec mwaka jana kuna mshikaj aliniambia mbiti nenda abood kapokee mzigo wako kuna bahasha mle !OMG OMG OMG !SIMJUI HANIJUI !nakushukur mama kunizaa mwanamke !woyooooo!sifowadr shoga !
watu tunajipulizia marashi ya watu na hadhi zao !mxiewww live long jf
Bora hata umetumiwa, mi kuna jitu humu linasingizia eti limenitumia mzigo from abroad ukapitia kwa mdada flani huyo mdada akaufungua Kwahiyo nimekasirika tena linasimulia kwa uchungu, yani jf kuna mianaume miongo jamani!!!!!!!
Yani hili jitu adhabu yake ningekua me ningelipaka mafuta maneeenah
 
mnajiuzaaa tu nyie na nitaweka hapa maovu yenu na screen shots !dadek
Alafu we mshikaji [emoji23] [emoji23] ngoja nikuache[emoji23] [emoji23] [emoji23] naona unatumia Nguvu nyingi sana kuaminika .

Fanya ivi ,, acha kua na maisha ya woga , wee nimwoga nasio kitu ... Alafu nikuache tuu ,ila jaribu kuangalia mdomo wako ..bahati Nzuri unajua mtu unayemzungumza niwaaina gani !!!. So take care .
Take care ,nakuambia take care ,narudia take care ..embu Fanya kunitoa ktk kinywa chako uishi kwa furaha !!.
 
Bora hata umetumiwa, mi kuna jitu humu linasingizia eti limenitumia mzigo from abroad ukapitia kwa mdada flani huyo mdada akaufungua Kwahiyo nimekasirika tena linasimulia kwa uchungu, yani jf kuna mianaume miongo jamani!!!!!!!
Yani hili jitu adhabu yake ningekua me ningelipaka mafuta maneeenah
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom