Andika usichokipenda humu JamiiForums

Hii kesho nitaijibu vyema,,ngoja nigonge glasi ili nilale vyema
 
Kinachoniudhi humu ni kupenda kufatiliana Fulani yukoje na anaishije??

Pm kutumika km majungu na vijiwe vya kusengenyana mpaka jukwaani great thinker km tuitwavyo huko nje unakuta masengenyo tuu, what a rubbish
 
Mtamkoma Putin Mwaka Huu. Atawaanika Hapa mda cyo Mrefu
 
sipendi pale huyu mzee@Asprin na wajukuu zake wanavyo vamiaga thread za watu na kuanza story zao za umbea umbea si babu si wajukuu.. Muache mzee wangu
 

Kuvusha nimekumbuka chuoni anyway
mi sipendi uko na demu alafu wakati wa kudos anajifanya mgeni kumbe ni professional
 

Yaani nyuzi zenye shari ndo nazipendaga sijui kwa nini. Ingekuwa huku jf kila siku ni hivi basi ningenenepa zaidi
 
sipendi pale huyu mzee@Asprin na wajukuu zake wanavyo vamiaga thread za watu na kuanza story zao za umbea umbea si babu si wajukuu.. Muache mzee wangu
Hahaahahahha. Kumbe aspirin ndo muhusika Wa hyo tabia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…