Andika usichokipenda humu JamiiForums

Andika usichokipenda humu JamiiForums

Kuna wawili , niliwatumia PM... Mpaka Leo niwaoga sana ,, wakinisema wanaogopaga hata kunitaja jina.l[emoji23] [emoji23] [emoji23] ndo maana nimewambia tatizo niwaoga !!.


Ila serious ,,Sasa Mima kanipa Ruhusa ,, Kuna wanawake wawili ,, Nataka niwatmie km mfano ,,nataka niwatumie km mfano ili Watu waamini ambacho huwa nakizungumza ...the reset watafuata mdogo mdogo.
Hii kesho nitaijibu vyema,,ngoja nigonge glasi ili nilale vyema
 
Kinachoniudhi humu ni kupenda kufatiliana Fulani yukoje na anaishije??

Pm kutumika km majungu na vijiwe vya kusengenyana mpaka jukwaani great thinker km tuitwavyo huko nje unakuta masengenyo tuu, what a rubbish
 
Mtamkoma Putin Mwaka Huu. Atawaanika Hapa mda cyo Mrefu
 
sipendi pale huyu mzee@Asprin na wajukuu zake wanavyo vamiaga thread za watu na kuanza story zao za umbea umbea si babu si wajukuu.. Muache mzee wangu
 
Nawaona nawaona wale wazee wa kuwala Dada Wa kazi mnavyofurahi baada ya madogo kurudi shule maana ulibaniwa mwezi mzima[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]

Nawaona wale ambao walikuwa wanashindwa kuvusha kisa madogo wapo, mmefurahi leo kwamba utaanza kuvusha[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]

Kuvusha nimekumbuka chuoni anyway
mi sipendi uko na demu alafu wakati wa kudos anajifanya mgeni kumbe ni professional
 
Ujinga ni ujinga , moja ya ujinga nipale unapomuita mtu mtoto alafu huyo huyo mtoto hamna asichokijua kwako.izo ni akili au matope ? Au ndo kujaribu kuvisha "Ubora" ???.

Nambaya zaidi unakua Mwogaaa[emoji23][emoji23][emoji23]... Mie ngoja niwaache.... Ila muwe mnaangalia na watu wakuzungumzia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nawakumbusheni kitu** Regardless of your Gender ,regardless of ur Age ,to me ,, you are going to reap what you sow **.

Ujinga wenu nipale baadhi yenu mnavodhani sasa kwakua mu'wanawake , then mkiongea shits so itanibidi nitulie kisa I am a Man !!! NEVER EVER !!!

Leo nipo busy kiasi ...Ila kesho nitaamkia hapa hapa !!.

Yaani nyuzi zenye shari ndo nazipendaga sijui kwa nini. Ingekuwa huku jf kila siku ni hivi basi ningenenepa zaidi
 
sipendi pale huyu mzee@Asprin na wajukuu zake wanavyo vamiaga thread za watu na kuanza story zao za umbea umbea si babu si wajukuu.. Muache mzee wangu
Hahaahahahha. Kumbe aspirin ndo muhusika Wa hyo tabia
 
Back
Top Bottom