Kweli jana bando ilikata...dah siku yangu ilikuwa mbaya sana fundiUnapotea mno na wewe fundi mkuu, au ndo una hasira za kukaa lupango kwahiyo unalipa zile siku hukuwepo kwa kaka mkubwa ! [emoji3] [emoji3] [emoji3] good morning fundi mkuu
Siku hazifanani fundi mkuu, mambo yalikuwa motooo sanaKweli jana bando ilikata...dah siku yangu ilikuwa mbaya sana fundi
Binafsi siwapendi watu wanaokua wakwanza kuchangia Uzi wowote ule, lakini uchangiaji wao unakua kama hivi,,Ngoja waje, subiri wanakuja,,,.Kiukweli hua nachukia sana na hawa watu.Andika Vitu Viwili Tu Usivyo Vipenda Humu Ndani.
Mimi Binafsi Sipendi Couple Ya Mahondwa Na Smart. Siwaelewi na Sitakuja Kuwaelewa.
Simpendi Vladmil Puttin Kwa Kujisifia Anatongozwa Na Wadada Wa Humu. Sijui Atakuwa Lini.
Weka Usivyo Vipenda Humu ndani.
Yes nimeona...Siku hazifanani fundi mkuu, mambo yalikuwa motooo sana
Una utani na @joseevarist ?Binafsi siwapendi watu wanaokua wakwanza kuchangia Uzi wowote ule, lakini uchangiaji wao unakua kama hivi,,Ngoja waje, subiri wanakuja,,,.Kiukweli hua nachukia sana na hawa watu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] umeuaBinafsi siwapendi watu wanaokua wakwanza kuchangia Uzi wowote ule, lakini uchangiaji wao unakua kama hivi,,Ngoja waje, subiri wanakuja,,,.Kiukweli hua nachukia sana na hawa watu.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] uliitwa hukuitikaHii battle si ya kitoto
Sikusikiaaaaa[emoji1] [emoji1] [emoji1] uliitwa hukuitika
Wenzio wanatuungiaga bureMkuu njoo Nikuunge bando kwa 3000tu wiki Nzima 4GB. Nichek pm km hela ipo. Na yeyote Anahitaji Aje Pm .... Njoo Na Namba Ya Voda Tu. Unanilipa Nakuunga
SIOGOPIIIIIWeWe Hujawahi Dharauliwa eehh. We Shauri Yako
Kunywa balimi ya baridiiiii nakuja kulipaaSipendi tabia ya watu wanaojuana kuingilia nyuzi za watu na mazungumzo yao binafsi
nimeamka salama kaka mkuu!nahis nawe upo poa !Ulitema nyongo, sumu ilitapakaa mwilini [emoji1] [emoji1] , umeamkaje MBITI.....
hebu kamuulize kama nimedanga mie !pls tuheshimiane ! na ni nan alianza kuja kwa mwenzake pm !narudia tena na tena huyo mtu alikua rafiki angu ambaye hata nikiumwa ananiambia tafuta dawa hii na hii !mxiewwwwwwwwwww unawajua wadangaji wewe au unawasikia !mxiewwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwKumbe Umeolewa alafu Unadanga Kwa Putini. Hahaha hahaha Lazima Akuzqrau[emoji28] [emoji28]