hahaaaa..sasa kama mzazi wake wajinsia yake mwenza alibakwa ndio akapatikana yeye utayajulia wapi hayo mkuu...wacha atuchukie tuSoma uelewe Mada mtoa post amezungumzia kero za humu jf unaposema hupendi wanaume katika hii dunia inamaanisha hadi babako yani ndo tafsir yake
hiyo sentensi yako ya mwisho---Story zisizo na kichwa wala miguu (za kusadikika)
---Wapenda sifa za kijinga (kujisifia yeye ndio mjuzi wa kila kitu/mbabe yeye/muhuni yeye/mjanja yeye/fundi yeye/mtaalamu wa kuteka wasichana yeye n.k
---Too many IDs hadi zinaunganishwa
---Watu wanaobishana bila kuwa na hoja/data
---Mambo ya fb (yasio na maana) kuyaleta humu
---Baadhi ya members kukoseana heshima na kuanza kutukanana
na hiyo kazi dina anaimudu vyema haswaa haaha maana alikuwa anatia mafuta mnooUmenikumbusha mbali sana miaka hiyoooo nipo shule niko mpoleeee, bas kulikuwa na bidada mmoja mzuuuriiiii ila sasa anapenda kutia mafuta watu wakigombana yaani atachochea mafuta hadi wapigane bas yy burudani hahhaaaa
hahaaaa ule mtongozo unapatikana Pluto huko sio hapa dunianiNimetoroka kidogo kazini
ki ukweli Vladimirovich Putin huo mtongozo wako una phd ulifaa uwe gavana wa benki. Hawa kina mbity,dina naona wanaona wivu aisehh embu watupie vile vi katuni wapoze nyoyo zao.
alafu nakuomba unifundishe mtongozo maana hapo nilishafeli na tu picha tule maana mtongoza kwa mima mpaka nimefall in love mimi
kama kweli kisa ndio hiki ulichokisemahhaha namfaham vlad kijuu juu tu ! kuna mtu aliwaj nijia pm akaniambia vlad ana maneno mazuri na amevutiwa naye nikamshauri kihenga kuwa huyo nimtoto achana naye hahaha bi bidada akayapeleka km yalivyo !ndo chanzo cha haya maneno !alikua mshikaj hatar yaan ile ya kuitana majina mabayaa we paka upo nimekumis nyau wangu !mara muitane mbweha things like tht ! sasa bidada akamwambia nilivyomchana !hahaha vlad alikua mshikaj haipit siku msichat !sijaruka popote kuwa hakuwa mshikaji ! na nilishindwa kucope naye yeye alikua field nikawa nashindwa kuchat naye !hahah uwii
hahaaaaAt least that will give you more and enough time to concentrate on yo relationship and every productive thing in yo life.
Good lucky[emoji39]
daahh aisee wew ni mchochezi ile mbaya..hahaaPutin akinyamazaa nakojoaaaaaaa
Tena putin hawa wanakuharibuu we sio mtu wa kunyamazaa
daaahh dina ..!!Halaf si ashakukataza kuongelea maswala yake ya chuo hapaa,,putini akinyamaza ntamchekaa
Yaweza kuwa pia, lkn ucwe na haraka ya kukosoa km hujaelewa.Soma uelewe Mada mtoa post amezungumzia kero za humu jf unaposema hupendi wanaume katika hii dunia inamaanisha hadi babako yani ndo tafsir yake
hahaaaa eti pua kubwahuo ndo ukweli ! inakujia akilini mie mdada ninakamata vimia mia nimuombe mtoto wa chuo tea anayetegemea boom?? hivi mpo srious kweli? ni kma leo mie nimuombe mdogo wangu grace pesa yake ya boom !si wehu huo ?
inakera sana ! mtu akipata kiboom anakujia pm anakuuliza afanye nn na nn leo anakuja hapa pua kubwaaa ohhh nyoko nyoko !mcxiewwwww
hahaaaa watu wa humu daaahh Jf sihami manina ..sipndi umbea but huu wahumu umevuka viwango vyote nahisi huwa inakuwa na muihuri ya TBS..daahh hahaaNimekwambia Ukae Kimya Hutaki, Sasa Mimi Na wewe Nani Anstahili Kufua Chupi. Umesahau Pale Kimara Ulifua Kichupi Chako Ukaweka Kwenye Pochi Ukisema Utakianika Ukirudi Kwako? Au siyo Wewe... Hakyanani Kama Mkuki Tu Jamaa Wako Atauvumilia Tu Ajipangeeeee.
hahaaa mweli wew trump daahhHahaha hahaa hahaha! Endeleeni Kujitekenya. Mkicheka mtaaçha.
hahaaaa jaahh..hahaaaWakati Unavua Hukuweka Akiba Ya Maneno Siyo? Wakati Kinazama Hukusema Mngese Siyo? Wakati Unakuja Lukundo Lodge Hukujua Kuna Siku Kama Ya Leo Utatajwa? Any Way Fanya Kazi Zako but Kumbuka Kuweka Akiba Ya Maneno Jemi.
hahaaaaha ha ha ha poleeee kabisa chupi yangu nikuvulie wewe na unaonekana ulivyo pashu kama mngese wa kihindi naanzaje kukuvulia chupi .
Mamaaa weeee ha ha ha I'm sory nipo bize kwa vitu vyra msingi so kaa mbali na Mimi manina zako.
mkuu huna haja yakucheka yaani hiyo avatar yako inapaswa kuwakilisha hisia zako ulizonazo pindi unapojiskia kucheka[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hahaa acha umbeahahaaaa watu wa humu daaahh Jf sihami manina ..sipndi umbea but huu wahumu umevuka viwango vyote nahisi huwa inakuwa na muihuri ya TBS..daahh hahaa
hahaaa acha tu mkuuHahaa acha umbea
Naona umefukua kaburi ata ambao tulipitwa na ubuyu ndo tunaonahahaaa acha tu mkuu