Andika usichokipenda humu JamiiForums

Andika usichokipenda humu JamiiForums

5053cc6bc4239fad2a7f6761fb772aeb.jpg



Movie Yangu Inaendelea. Mtuhumiwa Kaonekana. Ngoja Aanze Kuwadharau[emoji28]
 
Mh! Nyie watu mna hatari sana. Mnachukua na ushahidi kabisaaaa. Nyie si wa mchezo mchezo LOL! Eti njemba inaitwa chura hahahahahahaha Mungu anawaona nyie shauri yenu ila Shunie umenichekesha sana LOL!

Khaaaa churaa hivi mbona huyu huniletei screenshot zake sasa chura anaulizia anataka kunifanya ninii Ekyoma ebu njoo
 
1. Kuunganisha kuhamisha au kuondoa post.
2. Kutokuwepo dislike button
3.Tabia za baadhi ya mods kupendelea utawala
 
Hizo hizo feki tunapenda zikiwa na mvuto
Mbona kuna yule jamaa kaweka likatuni libaya halafu madem mnavyomshobokea sasa kutokana na story zake za uongo tuu[emoji51]
 
Ujinga ni ujinga , moja ya ujinga nipale unapomuita mtu mtoto alafu huyo huyo mtoto hamna asichokijua kwako.izo ni akili au matope ? Au ndo kujaribu kuvisha "Ubora" ???.

Nambaya zaidi unakua Mwogaaa[emoji23][emoji23][emoji23]... Mie ngoja niwaache.... Ila muwe mnaangalia na watu wakuzungumzia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nawakumbusheni kitu** Regardless of your Gender ,regardless of ur Age ,to me ,, you are going to reap what you sow **.

Ujinga wenu nipale baadhi yenu mnavodhani sasa kwakua mu'wanawake , then mkiongea shits so itanibidi nitulie kisa I am a Man !!! NEVER EVER !!!

Leo nipo busy kiasi ...Ila kesho nitaamkia hapa hapa !!.
 
Back
Top Bottom