Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Putin kuna muda tunakumiss unakaa kimya mno,,we unadhan ukikaa kimya hivyo jf hapachangamkii bana,,hatukuonei wivu bali tunapenda uwepo hapa jomoniiiiMimi sio mnafiki ,, nasiupendi unafiki.
Kila mtu anayenijua Mimi NA Mima ,,akisoma moment zako wewe +demi+shunie+Dina zote zinazungumzia Mimi ,, though mmeogopa kutaja majina ,ila huo ndo ukweli.
Sitaki nasitafuti sifa mpaka useme nataka kuwaaminisha watu kua mnaona wivu ,, Hayo niyako nasijayaema Mimi ...ila Muungwana akisoma ataelewa.....
Unadhan kwann Mahondwa , Kuna mahali amesema "Putin usije ktk huu uzi " ????
Sasa niivi , Huo u gangster baby wako usikufanye ukajiona bonge lakichwaaaaa sana ....
Jaribu kujiheshimu uheshimike !!!!kila siku nawaambia ,Usitegemee kunilete ujinga ,alafu nikakaa kimya eti kisa weee mwanamke Mimi mwanamme ..noooooooo ,,hao waivo ni Akina Daby!!!.
So make sure unauchunga mdomo wako nakila mtu afanye yanayomuhusu ,Mbona ni Rahisi sana kupiga kimya ?????. Unashindwa nn ??? .
Halaf ushatufundisha jisi ya kudharau ndio maana tushaiga tu ,wala usijali mbona,we hupendi kuigwa