Uuuuuh nimefika bina. ThanksHeaven Sent njoo my binamu
Uuuuuh nimefika bina. Thanks
Itakuwa tu nafsi yake imejisikia kuniandikia lolNafikiri huu ni ujanja mpya wa kuwapata wadada wa JF baada ya dada hawa kuwa na tabia ya kufunga pm zao!
Acha upambe binahaya wapendwa dont say am unlucky woman
hakuna anitake mm Hugo hapo kajiletaa!
Me sijafunga pm bana, itakuwa tu nafsi yake imejisikia kuniandikia lol
ha ha haMtu kaona mwandiko tu amefall, hapo ndiyo tunaambizana eti tujaze info zetu complete, si kuna siku utaamka utakuta mtu yupo mlangoni anakulilia, akija kua obsessed na wewe ndiyo utajua kua kila mtu anatamani kubaka ila anaogopa kitakachofuata baada ya kukamatwa.
Acha upambe bina
To be loved.., what a feeling[emoji85] [emoji85] .....Nashukuru sana my dearTo you Dearest Heaven Sent,
Seems like I have fallen in love with youβ¦you are just the best! Now all I want to say is that I can't live without you and don't even want to. You are the best thing that has ever happened to me and i think you'll make my life complete. I adore you from my heart and soul and want to let you know that you are my little angel who i love the most. Only mwandiko wako was enough to fill my heart with this enormous LOVE. You make me so happy anytime i read ur post/comment..., that all I need now is you to make my life complete.
Your's the one and only Korboto.
cc atoto fanya mazoezi ya kubeba kapu la mama.
Haha na me nimeona tu "love"Kuna sehemu nimeona kaandika love,bila shaka itakuwa ni mambo ya mapenzi mapenzi, Heaven Sent Jamaa anasemaje hapa?
hapana, kwani salamu zangu huzipati kupitia kwa Blaki Womani ?Sijambo,aliekuficha amesafiri ee
MUGABE BHANAView attachment 442719[emoji85] [emoji85]
Amesema tuwe tunafanya mazoezi ni muhimu kwa afya zetu. Mbona ametafsiri mstari wa mwisho, huko juu ni utangulizi tu.Kwa kiswahili kasemaje?
To you Dearest Heaven Sent,
Seems like I have fallen in love with youβ¦you are just the best! Now all I want to say is that I can't live without you and don't even want to. You are the best thing that has ever happened to me and i think you'll make my life complete. I adore you from my heart and soul and want to let you know that you are my little angel who i love the most. Only mwandiko wako was enough to fill my heart with this enormous LOVE. You make me so happy anytime i read ur post/comment..., that all I need now is you to make my life complete.
Your's the one and only Korboto.
cc atoto fanya mazoezi ya kubeba kapu la mama.
He he he em jitulize tu huko. Bado nipo nipo[emoji3] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nataka nicheze kwaito...!!
yaani full kujiachia cuzooo!
Hiyo naifungia safari ndani ya Rungwe Express.....!!!
safi sanaTo be loved.., what a feeling[emoji85] [emoji85] .....Nashukuru sana my dear
Hehe kwa hiyo ndo ushatuunganisha? Mtaniulia mtu kwa presha mweeDah! You're in love. Kuna siku tena wala siku si nyingi labda wiki tatu au mwezi. Kuna jamaa alikuwa analalamika kupata mwenzi wa kufunga naye ndoa, kama sikosei ni Mwalimu yule. Katika uzi wake Heaven Sent alichangia vizuri sana kumpa ushauri jamaa miye nikaona kitu nikadhani muanzisha uzi naye atakiona. Nilitamani nimwambie kitu yule jamaa hata kupitia pm lakini nikaamua kuuchuna na kutosema chochote. Kama hii ni kweli mie nawaombea kila la heri na baraka ili msiishie njiani. Naomba nisiulizwe Heaven Sent aliandika nini ila kwa kifupi alitoa ushauri tu wa kumsaidia jamaa. Ilibidi niiangalie avatar mara mbili mbili maana hii ni ya heaven sent. πππ
haaaa....wasubiri nini mamaaa...He he he em jitulize tu huko. Bado nipo nipo
bro tag me there please my binamu hakoseagi huyuu!Dah! You're in love. Kuna siku tena wala siku si nyingi labda wiki tatu au mwezi. Kuna jamaa alikuwa analalamika kupata mwenzi wa kufunga naye ndoa, kama sikosei ni Mwalimu yule. Katika uzi wake Heaven Sent alichangia vizuri sana kumpa ushauri jamaa miye nikaona kitu nikadhani muanzisha uzi naye atakiona. Nilitamani nimwambie kitu yule jamaa hata kupitia pm lakini nikaamua kuuchuna na kutosema chochote. Kama hii ni kweli mie nawaombea kila la heri na baraka ili msiishie njiani. Naomba nisiulizwe Heaven Sent aliandika nini ila kwa kifupi alitoa ushauri tu wa kumsaidia jamaa. Ilibidi niiangalie avatar mara mbili mbili maana hii ni ya heaven sent. πππ
Mfyuuu, inahuuusafi sana
sasa binamu ndo kusema...
nijiandae[emoji13] [emoji13] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]