Andrew Kisaka, amesema Mamlaka hiyo itawachukulia hatua baadhi ya Watangazaji wanaosoma magazeti kwa mbwembwe

Masanja si chawa!
Watakuwa wanamlia mingo Gerald
 
huyo afisa wa tcra kasoma wapi masuala ya habari? Hebu asikwamishe ladha ya usikilizaji wa kusoma magazeti. Mambo ya habari zaidi hutawaliwa na ubunifu na utashi wa mtu katika kufanya presentation ya taarifa. Huyo afisa anakurupuka tu
Hayo muwe mnafanyia chumbani si kwenye vyombo vya habari. Tatizo la nchi hii vilaza ni wengi kuliko sisi. Tupo wachache sana. Sometime mnataka sasa mtuzidi hata kwenye mambo ya maana.
 
Wachugaji siku izi utaskia "shika jirani zako watano mikono waambie your beautifull ata kama ni wanaume" ilimradi waumini wasiuchape.
 
Kwa sisi watu smart tunataka content siyo mbwembwe. Hizo mbwembwe wawe wanafanyiwa vilaza. Muda wenyewe upo wapi kuanza kupotezeana muda kwa mambo ya kipuuzi. Watu wapo serious nyie mna wa actia.
 
Huo ni ubunifu wao katika kupeleka taarifa, inawezekana kuna mtu imempata kwenye mfupa.......wanaposoma hayo magazeti nafikri hawazuiliwi kuwa na mjadala wa hizo habari zilizoandikwa kwa hiyo bado wanaweza kuwa na mitazamo tofauti wakaonekana kama wanaongeza maneno.​
 
Mbwembwe, rejea kwa watangazaji wa mpira kama kina baraka mpenja na nazareth upete kama si mbwembwe zao wasingepata umaarufu wa kutangaza mpira. Kuna wasoma taarifa ya habari ile wanaitambulisha taarifa ya habari kupitia media za utapenda, muangalie farhia middle vile anavyotamka itv super brand na kile kidole gumba unapapata hamasa kusikiliza na kutazama, wapo wengi tu akina abdalah tilata wa star tv na usomaji wao wa habari za michezo utapenda kila siku wawe wanasoma kwa mbwembwe
 
Hayo muwe mnafanyia chumbani si kwenye vyombo vya habari. Tatizo la nchi hii vilaza ni wengi kuliko sisi. Tupo wachache sana. Sometime mnataka sasa mtuzidi hata kwenye mambo ya maana.
kesharekebisha kauli yake we bado unang'ang'ana na msimamo wake tuliouponda. Mbwembwe ndio huvuta wasikilizaji wewe. Cheki hotuba za baba wa taifa hutochoka kusikiliza kuliko za marais wengine hawakuwa na ujanja wa kuvuta wasikilizaji. Mkuu mbwembwe ni sanaa tu usikwazike kuzisikia
 
Muhimu chagua chanel ipi usikilize hivyo vichwa vya habari
 
Nyerere hakuwa na mbwembwe alikuwa smart kichwani alikuwa mwanafasihi. Si hawa vilaza.
 
Wapumbavu hawatapungua Tazanzania.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…