Darren2019
JF-Expert Member
- Nov 23, 2019
- 1,112
- 2,400
Kama kuna android nilizipenda ni Android 10, niko 11 ila natamani kurejea 10.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nafikiri tecno na wanawe hakuna[emoji16]Hivi kila simu inauwezo wa kuupgrade Android version siku hizi au baadhi tu?
Umetumia njia gani ku root nina Android 7.1.1 na tayari nimedownload rom ya android 10 ila kuroot imeshindikanaEe mkuu simu ununue mwenyewe mtu aje akupangie matumizi huo undezi haupo, hyo ni redmi 8 nlinunua ina Android 10,
Hata kama na void warranty poa tu, make simu nliagiza online hata ikiharibika under warranty nisingeweza irudisha irekebishwe.
Nahisi inategemea na simu ulizokuwa unatumia.....binafsi sijawahi experience tatizo lolote la ki android na hii nokiaNilikuwa napata shida sana napotumia simu za android kabla ya android 10. Ilikuwa kila ikipita miez kama 4 lazima ni restore simu maana inaanza kuwa slow na apps zinaclash clash. Hii ilikuwa tofauti na iphone.
Ila toka itoke android 10, nadhani hili tatizo limepungua. Hapa nilikuwa nahesabu nimetimiza miezi 7 toka ninunue hii simu, sijaireset na bado ina run vile vile kwa speed ile ile. Ina android 11 lakini.
Android inazidi kuimalika
Unajiwekaje hio rom?? Nielekeze vizuri yani kama simu ipo hivi unaibadilisha kuwaje??Ee mkuu simu ununue mwenyewe mtu aje akupangie matumizi huo undezi haupo, hyo ni redmi 8 nlinunua ina Android 10,
Hata kama na void warranty poa tu, make simu nliagiza online hata ikiharibika under warranty nisingeweza irudisha irekebishwe.
Sorry kwa kua offline, kwa muda huna haja ya kuroot ili kuweka custom rom, wewe sema simu yako ni aina gani, uelekezwe namna ya ku unlock bootloader na kuweka recovery, au njia rahisi ingia youtube andika how to unlock bootloader malizia na jina la simu yako.Umetumia njia gani ku root nina Android 7.1.1 na tayari nimedownload rom ya android 10 ila kuroot imeshindikana
Ni hivi mfano company ya xiaomi, ma rom yao mazito sana, ko kwa hizi low end zetu za laki mbili, ili kucheza magem unahitaji kuweka ROM nyepesi kama za Lineage Os na kuifanya sim iwe smooth na better in multitasking.Unajiwekaje hio rom?? Nielekeze vizuri yani kama simu ipo hivi unaibadilisha kuwaje??
Hivi hii process haiwezi kui-brick simu?Sorry kwa kua offline, kwa muda huna haja ya kuroot ili kuweka custom rom, wewe sema simu yako ni aina gani, uelekezwe namna ya ku unlock bootloader na kuweka recovery, au njia rahisi ingia youtube andika how to unlock bootloader malizia na jina la simu yako.
Probability ni 50/50 ila ukifuata maelekezo huwezi brick sim yako.Hivi hii process haiwezi kui-brick simu?
Nina simu imegota android 10 naiwazia ila hofu ya kui-brick ndio inanifanya nisiteProbability ni 50/50 ila ukifuata maelekezo huwezi brick sim yako.
Kaka kamkweche kangu ni samsung a10 naona kamegomea kwenye android 11, je inawezekana kwenda 12?Probability ni 50/50 ila ukifuata maelekezo huwezi brick sim yako.
Piga custom romKaka kamkweche kangu ni samsung a10 naona kamegomea kwenye android 11, je inawezekana kwenda 12?
Pole sana kama unaogopa kubrick acha kabisa usije ukajuta, na kubrick pia sio rahisi kama unavozani mara nyingi watu husoft brick, ila ku hard brick ni ngumu sana, yani hadi ishindwe kuwashwa kwa EDL labda lakini.Nina simu imegota android 10 naiwazia ila hofu ya kui-brick ndio inanifanya nisite
Mkuu unaweza kunielezea kuhusu hiyo custom rom? Maana nimecheki YouTube tutorial zipo nyingi Mpaka zikanichanganyaPiga custom rom
Nimekusoma mkuuPole
Pole sana kama unaogopa kubrick acha kabisa usije ukajuta, na kubrick pia sio rahisi kama unavozani mara nyingi watu husoft brick, ila ku hard brick ni ngumu sana, yani hadi ishindwe kuwashwa kwa EDL labda lakini.