Life starts at 45
JF-Expert Member
- Sep 22, 2015
- 998
- 987
Wakuu natumaini mu wazima wa afya, karibu hapa tujadiliane kidogo kuhusiana na maswala ya Android application development.
Kuna baadhi ya watu wamekuwa wakihitaji kuingia kuna Android Development lakini wanakosa pa kuanzia sasa hapa nazani patawafaa sana.
Natambua kuna nyuzi kadhaa zimewahi anzishwa hapa kuhusiana na android development lakini huu ni tofauti na hizo. Hapa hatujalenga kuwa tunaandika code za kudevelop app badala yake tutakuwa tukiangalia jee kuna teknologia gani zipo na utumie ipi na kwa nini. Tutaangalia vitu kama what are good practice that are recommended by google. Leo kwa kiasi kikubwa tutaenda kutazama ni kwa nini kwenye development zetu tutumie Kotlin instead of java.
kotlin.
Kotlin imeanzisha mwaka 2011 ikiwa kama official programming language kutoka google. Na kutangazwa rasmi mwaka 2017 kama official programming language kwa ajili ya android development. Toka kotlini kutangazwa kwake imekuwa ikijichukulia umaarufu na hivyo watu wengi kuamia huko. Sasa kama wewe ndio kama unaanza kujifunza Android basi nakushauri tumia kotlin kwa ajili ya development zako.
Java
Kotlin
nazani wewe wenyewe umejionea utafauti kati ya hizo code mbili japo zote zinafanya jambo moja sasa kwa nini utake maisha magumu ilihali rahisi yapo?
Code chache unachukua muda mchache kuandika, mda mchache kusoma na inapunguza hatari za bugs zisizokuwa za msingi.
Mfano mzuri huwa ni data class it's likely any prgram lazima itakuwa na data class so sasa kwa nini watu wajichoshe kuadika kitu kile kile ilihali kuna uwezeakano wa compiler kufanya hiyo kazi.
kwa aliye na cha kuongeza au kulekebisha palipo na mapungufu basi anakalibishwa. Next time tutaangalia kwa nini ni muhimu kutenganisha back-end na front end.
Source.
kotlinlang.org
Kuna baadhi ya watu wamekuwa wakihitaji kuingia kuna Android Development lakini wanakosa pa kuanzia sasa hapa nazani patawafaa sana.
Natambua kuna nyuzi kadhaa zimewahi anzishwa hapa kuhusiana na android development lakini huu ni tofauti na hizo. Hapa hatujalenga kuwa tunaandika code za kudevelop app badala yake tutakuwa tukiangalia jee kuna teknologia gani zipo na utumie ipi na kwa nini. Tutaangalia vitu kama what are good practice that are recommended by google. Leo kwa kiasi kikubwa tutaenda kutazama ni kwa nini kwenye development zetu tutumie Kotlin instead of java.
kotlin.
Kotlin imeanzisha mwaka 2011 ikiwa kama official programming language kutoka google. Na kutangazwa rasmi mwaka 2017 kama official programming language kwa ajili ya android development. Toka kotlini kutangazwa kwake imekuwa ikijichukulia umaarufu na hivyo watu wengi kuamia huko. Sasa kama wewe ndio kama unaanza kujifunza Android basi nakushauri tumia kotlin kwa ajili ya development zako.
KWA NINI KOTLIN.
- Kotlin inakuwezesha kuandika code chache.
Java
Kotlin
nazani wewe wenyewe umejionea utafauti kati ya hizo code mbili japo zote zinafanya jambo moja sasa kwa nini utake maisha magumu ilihali rahisi yapo?
Code chache unachukua muda mchache kuandika, mda mchache kusoma na inapunguza hatari za bugs zisizokuwa za msingi.
- Boilerplate code.
Mfano mzuri huwa ni data class it's likely any prgram lazima itakuwa na data class so sasa kwa nini watu wajichoshe kuadika kitu kile kile ilihali kuna uwezeakano wa compiler kufanya hiyo kazi.
- Null pointer exceptions.
- Faida zingine ni kama kuwa na default value kwenye function parameter.
- ku achive multithread kwenye kotlin ni rahisi ukilinganisha na java.
kwa aliye na cha kuongeza au kulekebisha palipo na mapungufu basi anakalibishwa. Next time tutaangalia kwa nini ni muhimu kutenganisha back-end na front end.
Source.
Kotlin for Android | Kotlin
Kotlin vs. Java: Which is the Better Option for Android App Development? | Clearbridge Mobile
Android app development using Kotlin is providing developers with opportunities to build software with modern programming. Could this be the end of Java?
clearbridgemobile.com