tilmikha
JF-Expert Member
- Feb 27, 2013
- 496
- 604
Natumai mpo wazima na hata wale walio wagonjwa nawaombea wapone haraka.
Nadhani kichwa cha habari kitakuwa kimewashtua chama cha wapiga punyeto pamoja na wenyeviti wao ila naomba muwe watulivu na wavumilivu na huu uzi usichukuliwe kama kuwakashifu bali ni katika njia za kuzinduana.
Kwanza nianze kueleza kile kinachotokea wakati mtu anapotumia dawa za kulevya kama heroin pamoja na aina nyengine za dawa mfano nicotine, ethanol n.k.
Dawa hizi zimekuwa zikichochea utolewaji wa chemical iitwayo Dopamine ambayo kwa jina jengine hujulikana kama "Pleasure Compound". Hii yenyewe ni neurotransmitter ambayo huwa inatolewa kwa lengo la kutuma taarifa kutoka katika seli moja ya ubongo kwenda katika seli nyengine.
Sasa hizo dawa ambazo nimezitaja hapo juu na nyengine hupelekea utolewaji wa hiyo dopamine kwa kiasi kikubwa kwa namna ambayo huathiri maumbile na mfumo wa ufanyaji kazi wa hizo seli za ubongo na hatimaye husababisha Adiction (UTEJA).
Sasa unapofanya masturbation kwa njia yoyote Ile uijuayo wewe basi wakati ule unafikia kilele cha raha yaani CLIMAX basi hapo dopamine pia hutolewa tena kwa kiwango kikubwa kama itolewavyo kwa mtu anayetumia dawa za kulevya.
Wapo ambao wanaweza kusema kufanya masturbation ni sawa sawa na kufanya tendo la ndoa la kawaida kwakuwa raha sehemu zote zinapatikana. Lakini si kweli; kufanya sex original ni tofauti na kufanya fake sex kwa sababu kwenye tendo la ndoa la kawaida unaweza kutarajia kupata yafuatayo, kama flirting, touching, smells, pheromones, intimacy, penetration pamoja na orgasm. (nimetumia english kukata ukali wa maneno) Sasa kwenye punyeto kuna patikakana jambo moja tu nalo ni Orgasm.
Natumai utakua umenielewa hivo ukiendelea na hilo jambo jua kuwa wewe huna tofauti na teja anaetumia heroin.
Nakutakia mchana mwema. Ahsante kwa utulivu wako.
Nadhani kichwa cha habari kitakuwa kimewashtua chama cha wapiga punyeto pamoja na wenyeviti wao ila naomba muwe watulivu na wavumilivu na huu uzi usichukuliwe kama kuwakashifu bali ni katika njia za kuzinduana.
Kwanza nianze kueleza kile kinachotokea wakati mtu anapotumia dawa za kulevya kama heroin pamoja na aina nyengine za dawa mfano nicotine, ethanol n.k.
Dawa hizi zimekuwa zikichochea utolewaji wa chemical iitwayo Dopamine ambayo kwa jina jengine hujulikana kama "Pleasure Compound". Hii yenyewe ni neurotransmitter ambayo huwa inatolewa kwa lengo la kutuma taarifa kutoka katika seli moja ya ubongo kwenda katika seli nyengine.
Sasa hizo dawa ambazo nimezitaja hapo juu na nyengine hupelekea utolewaji wa hiyo dopamine kwa kiasi kikubwa kwa namna ambayo huathiri maumbile na mfumo wa ufanyaji kazi wa hizo seli za ubongo na hatimaye husababisha Adiction (UTEJA).
Sasa unapofanya masturbation kwa njia yoyote Ile uijuayo wewe basi wakati ule unafikia kilele cha raha yaani CLIMAX basi hapo dopamine pia hutolewa tena kwa kiwango kikubwa kama itolewavyo kwa mtu anayetumia dawa za kulevya.
Wapo ambao wanaweza kusema kufanya masturbation ni sawa sawa na kufanya tendo la ndoa la kawaida kwakuwa raha sehemu zote zinapatikana. Lakini si kweli; kufanya sex original ni tofauti na kufanya fake sex kwa sababu kwenye tendo la ndoa la kawaida unaweza kutarajia kupata yafuatayo, kama flirting, touching, smells, pheromones, intimacy, penetration pamoja na orgasm. (nimetumia english kukata ukali wa maneno) Sasa kwenye punyeto kuna patikakana jambo moja tu nalo ni Orgasm.
Natumai utakua umenielewa hivo ukiendelea na hilo jambo jua kuwa wewe huna tofauti na teja anaetumia heroin.
Nakutakia mchana mwema. Ahsante kwa utulivu wako.