Anembryonic Pregnancy(Mimba Kutokukua)

RGforever

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2011
Posts
6,878
Reaction score
5,432
Wakuu wa JF doctor

Mdada kapima Ultra Sound na Imeonyesha Kuwa Mimba ina week 6 ila Hakuna Fetal pole wala York sac na Conclusion ni Kwamba ana Anembryonic Pregnancy kwamba Mimba yake haikui Na Doctors wamempa dawa Mbalimbali za Kumeza.

Dalili alizozipata mpk akaenda Hospitalini ni baada ya bleed kuanza kumtoka.

Je kunauwezekano wa Hii Mimba Kuendelea Kukua .. Msaada Kidogo Asanteni
 
Pole Yake...nliwah kupata tatizo kama hilo sa cjui tumetofautiana kidogo Mimi ilikuwa 6 week mimba inaonekana kile kimfuko cha uzazi (gestation sac) ila ndani ya kile kimfuko hakuna kitu chochote Dr akasema ni brighted ovum (mimba iliyoyeyuka) na iliharibika atumie dawa
 
Naona Wanachelewa tu
Mimi ilivyokuwa three weeks nlipima ultrasound Dr akadai haoni kitu watu wakanipa moyo wakasema bado ndogo sana nam nkajipa moyo Dr mwngne akanipa duphastone maana ilikuwa kama vile nahc kubleed nkapewa duphastone hali ikakaa vzr kdg ila ilivyofika 6 wk ndo nkaanza kubleed kupima nkamwambia hvyo kama nlivyoshaur japo chn
 
Then Ukapata Miscarriage ? Au ili develop
 
Then Ukapata Miscarriage ? Au ili develop
Iliharibika ila mimba ya hvyo haiwez kukua japo Mimi sio muumba ila itakuwa tu inamtesa ila kuna mtu alinambia ndugu yake ilikuwa hivyo hvyo ila akakaa kama wiki mbili kurudi eti kijusi kikaonekana cha msingi asifanye kazi nzito awe na bed rest na atumie dawa inaweza kukua maana mungu mwenyewe ndo anajua ila endapo bleed inayotoka iwe nyepesi na isitoke siku nyngi ndo itakuwa kama cku 4 hv ikate ila Mimi yalianza kutoka hadi mabonge nkasema na mungu tu hii mimba n bora itoke maana nilijua tu itanitesa kiukweli ...mpe pole sana mungu atamsaidia (sorry kwa gazeti nmeelezea kwa experience )
 
Siyo Gazeti Ndugu ila Ni Msaada Mkubwa Ulionipa.. Asante na Mungu akubariki Hope God wil Put His Hand on This
 
Kuna mwingine alipewaga mbolea baada ya week 2 mimba ikakua na kuendelea vizuri πŸ™„
 
Samahani! Je uliweza beba mimba nyingine bila Shida hiyo kujitokeza tena
 
Alifanya transv utrasound???

Kama alifanya hiyo us ya ukeni at 6weeks – alitakiwa aone gestation sac ikiwa na yolk sac, pia na heartbeat . Kama heartbeat ijiwepo chances tha misscariage angalau zinapungua kidogo kwa kama 10%

Toka apate mimba aliwahi pima bhcg na progestrone(spelling) hormones? Haswa bhcg ingempa jibu la mimba yake as inatakiwa idouble kila baada ya 72 hrs kama sikosei

Ila dr kamshaurije?

Bora arudie us baada ya wiki 2
 
Je ukipima mimba ya wiki 3 kwenye ultrasound wanasema haionekan ila wanaona fluid za bacteria kwenye pod yan PID hivi hiyo mimba inaweza Kudumu ..maana Dr kasema mimba ni ndogo haiwez kuonekana kwenye ultrasound ila kuhusu hiyo PID nimepewa dawa ...nishaurini mwenzenu itakua kweli hii maana wengne wanasema wiki tatu wanaonaga hata damu iliyotunga kidogo
 

Ndio alifanya na ni kipimo Hiki pekee alichofanya pamoja na UPT for HCG.. Vingine hakufanya kama hivyo vya Hormone na Bhcg

Doctor alimpatia dawa za Kutumia na Now anaendelea vizuri hajapata Bleed tena na ameambiwa arudi baada ya Week 2 so.. we are waiting
 
Ok aendelee kusubiri

Wakati mwingine mjamzito huwa mchanga ni vyema kucheki hizo hormones.......kama bhcg haidouble inakualert......

Pia after hizo wiki mbili ndio itatoa jibu

Hakukutwa na SCH??? Nayo huleta damu ila inakuwa darkbrown......na ikiwa kubwa huaffect hata ujauzito ingawa nyingi huisha zenyewe au kwa dawa.
 
Nmeku quote hapo juu nijibu plz maana nmependa maelezo yako
 
Inaonekana.
Mradi bhcg level ziwe kati ya 1000-1500
Na iwe ys ya ukeni

Binafsi nishapima hizo kwa ujauzito 2
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…