ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
-
- #241
Baseless claims.Maccm ni majizi makubwa sana na majinga sana! Jiwe alikuwa anachukia sana Kaskazini kipuuuzi TU, akakataa kupanua uwanja wa Arusha Kisongo ambao Kwa siku una miruko ya ndege 150 anaenda kujenga uwanja wa kimataifa Kule porini Chato, Sasa wanaanika mpunga na mifugo kupumzikia! Jinga na baguzi kubwa sana!
Bado hujasema Hadi useme.Nani anapanda hizo ndege zenu za dom 450k
Sio KAZI ya Samia, hii ni KAZI ya Kikwete acha uongoSongwe Airport Mbeya
Nice. Ila nikwambie tu kwa case ya Morogoro, haiwezi kuwa na uwanja wa ndege kwa matumizi ya uchukuzi wa umma kwa maana tayari Morogoro na anga lake ni restricted military airspace.
Wapumbavu hamuwezi kuisha.Kwamba 2001 Rais alikuwa Kikwete?Sio KAZI ya Samia, hii ni KAZI ya Kikwete acha uongo
Akili huna unaropoka tuu.
- Songwe Airport Mbeya
- Songea Airport Ruvuma
- Chato Airport Geita
- Dodoma Airport
Hivi havihusiani naye
Siangalii video za machawa wenzako. Kama hufahamu Kingereza sema usaidiwe.Ukamalizika lini? Nani ameumaliza? Mama Yako au Baba Yako yule Shujaa π π?
Sikiliza hii video harafu uniambie umepata jibu au hujapata ππππ
View: https://youtu.be/rzG0iisjCik?si=ExpHBXro8W2cqZG-
Kwa nini? ππBahati mbaya wanaoweza kuvitumia ni innercircle ya ccm so ni kwa faida yao! Wakina mwashambwa na machawa wengine wabaki na katarama tu na chinjachinja zingine. Sasa mwananchi kule chole hii inamhusu nini?