Anga la Tanzania ya Samia linazidi kufunguka. Bado mikoa 7 tu kupata Uwanja wa Kisasa wa Ndege

Anga la Tanzania ya Samia linazidi kufunguka. Bado mikoa 7 tu kupata Uwanja wa Kisasa wa Ndege

Kwa nini? 😆😆

Sasa ccm si watu 500 tu na familia zao kiongozi? Hujui hili? Unadhani kuna mtu wa inner circle hata mmoja anamjua chawa mwashamba? Na unadhani hawa wamama wanaovalishwa tisheti na vilemba vya kijana watagusa hata airport hizo? Wapo busy kuuza bamia za mafungu wapeleke watoto wao kayumba scul, hivi viwanja ni deals tu na 10% zake zinatunzwa Dubai, Jersey island na Mauritius na kwingineko, nyie pigeni mapambio tu
 
Sasa ccm si watu 500 tu na familia zao kiongozi? Hujui hili? Unadhani kuna mtu wa inner circle hata mmoja anamjua chawa mwashamba? Na unadhani hawa wamama wanaovalishwa tisheti na vilemba vya kijana watagusa hata airport hizo? Wapo busy kuuza bamia za mafungu wapeleke watoto wao kayumba scul, hivi viwanja ni deals tu na 10% zake zinatunzwa Dubai, Jersey island na Mauritius na kwingineko, nyie pigeni mapambio tu
Watu 500 wanakuzuia wewe kupanda ndege?

Wamama wakivalishwa T-shirt wewe unapata shida gani? Inahusianaje na mada ya viwanja vya ndege?

Mwisho hata zingejuwa deals za 20% kwani viwanja huvioni?
 
Watu 500 wanakuzuia wewe kupanda ndege?

Wamama wakivalishwa T-shirt wewe unapata shida gani? Inahusianaje na mada ya viwanja vya ndege?

Mwisho hata zingejuwa deals za 20% kwani viwanja huvioni?

hahaha yani mi napanda ndege tangu upo kijijini kwako unatoka kamasi kiongozi naangalia wapiga pambio sio mimi, level hiyo hata sikuzaliwa nayo, ninaiishi!
 
hahaha yani mi napanda ndege tangu upo kijijini kwako unatoka kamasi kiongozi naangaliwa wapiga pambio sio mimi, level hiyo hata sikuzaliwa nayo, ninaiishi!
Kwa hiyo hutaki na wengine wasio na viwanja wajengewe nao wapande au? Maana unamwaga Kampasi mdomoni Serikali ikitimiza wajibu wake,shida Yako ni nini kwani?
 
Naendelea kuwakumbusha kazi nzuri na ya kutukuka inayofanywa na Serikali ya awamu ya 6 Chini ya Mama wa Vitendo Rais Dr Samia.

Serikali ya mama imekamilisha ujenzi wa viwanja kadhaa vya ndege vikiweno vifuatavyo;
  • Songwe Airport Mbeya
  • Songea Airport Ruvuma
  • Chato Airport Geita
  • Dodoma Airport
Kazi ya ujenzi na ukarabati wa viwanja 16 kwenye Mikoa 11 zinaendelea na ambapo zipo katika hatua mbalimbali
  • Msalato International Airport-Dodoma
  • Arusha Airport
  • Moshi Airport
  • Mwanza Airport
  • Shinyanga Airport
  • Sumbawanga Airport
  • Musoma Airport
  • Mpanda Airport
  • Mtwara Airport
  • Kigoma Airport
  • Iringa Airport
  • Tanga Airport
  • Mtemere Airport -Nyerere National park
  • Kikoboga Airport Mikumi NP
  • Ruaha NP Airport(2 Airports)
  • Kahama Airport
Maandalizi ya kuanza Ujenzi wa viwanja Mikoa ifuatayo yanaendelea na Yako kwenye hatua mbalimbali za utekelezwaji 👇👇

Singida
Manyara
Njombe
Simiyu
Lindi
Songwe
Serengeti
View attachment 2988504

My Take
Namba zinajieleza Kila mtu Morogoro Iko reserved Kwa sababu za kiusalama ingawa Ina uwanja wa Kijeshi.

View: https://twitter.com/RashdaZunde/status/1710214957667602608?t=xy3XFtoUUtAKPSF-2XubRA&s=19
View attachment 2931212

Ameuza vile vile bandari zote na mbuga zote kwa waarabu! Ameanzisha rasmi utekaji na mauaji ya wale wasiokubaliana naye! Trash hayo unayoita maendeleo Tunataka HAKI!!
 
Ameuza vile vile bandari zote na mbuga zote kwa waarabu! Ameanzisha rasmi utekaji na mauaji ya wale wasiokubaliana naye! Trash hayo unayoita maendeleo Tunataka HAKI!!
Alaa kumbe baada ya kuuza vyote hivyo Kwa Sasa Nchi haipati tena Mapato ya bandarini au? 😂😂😂👇👇

View: https://x.com/TanzaniaInvest/status/1844213868089966762?t=Si8z4yBD8J0Qp3cfLql3ZQ&s=19

Mbona hawajasema mbuga ya Waarabu ndio imeongoza hapa? 👇👇

View: https://x.com/TanzaniaInvest/status/1844211309413630108?t=TTj_SHUxJNErNdQSw2zZLA&s=19

Mwisho Sasa mbona wewe hujatekwa?
 
Alaa kumbe baada ya kuuza vyote hivyo Kwa Sasa Nchi haipati tena Mapato ya bandarini au? 😂😂😂👇👇

View: https://x.com/TanzaniaInvest/status/1844213868089966762?t=Si8z4yBD8J0Qp3cfLql3ZQ&s=19

Mbona hawajasema mbuga ya Waarabu ndio imeongoza hapa? 👇👇

View: https://x.com/TanzaniaInvest/status/1844211309413630108?t=TTj_SHUxJNErNdQSw2zZLA&s=19

Mwisho Sasa mbona wewe hujatekwa?

Mwambie aache utekaji, mauaji kwa hofu ya kutupwa kapuni kama anajiamini kuwa atashinda! Akili ya kitoto ni ile unayofikiri kuwa kuuza raslimali zako kwa wageni kimagumashi hata kwa faida kiduchu ni haki! Bandari ni zetu na hata mbuga ni zetu. Aache kupambana na wamasai akiwafurusha kutoka kwenye makazi yao!!
 
Mwambie aache utekaji, mauaji kwa hofu ya kutupwa kapuni kama anajiamini kuwa atashinda! Akili ya kitoto ni ile unayofikiri kuwa kuuza raslimali zako kwa wageni kimagumashi hata kwa faida kiduchu ni haki! Bandari ni zetu na hata mbuga ni zetu. Aache kupambana na wamasai akiwafurusha kutoka kwenye makazi yao!!
Mbona wewe hujatekwa?

Si ajabu huna akili ndio maana unaongea mambo kipumbavu.

Mali zako zilizouzwa ni zipi hizo?

Masai lazima watoke kupisha uhifadhi,propaganda za kipumbavu kamsimulie mkeo.

Mwisho utake atashinda usitake atashinda.

Shy Airport 👇👇

View: https://x.com/FMzaramu/status/1846888762430660687?t=CPrUmdPnWfEAenpApoe2YQ&s=19
 
Back
Top Bottom