Faya yenye iko wapi na wewe?!Fire
Jumapili imepita kaka au wamekuteka tuje tuokoe jahazi kama Mirinda alivyofanya kwa Jona, maana AnNdivyo navyofanya. Kila baada ya siku moja. Leo ni Ijumaa. Tukutane Jumapili.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]***** kumbe kuna watu mnakula UTAM uku tangu miezi kadhaa nyuma ?
Leo nimewakuta nimekuja na ambulance napita njia ya mwendokasi
***** kumbe kuna watu mnakula UTAM uku tangu miezi kadhaa nyuma ?
Leo nimewakuta nimekuja na ambulance napita njia ya mwendokasi
Ivi vitu vitam vitam mbn mm UA nachelew kuona ?
Kwamba Nina vidonda ila co macho?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]***** kumbe kuna watu mnakula UTAM uku tangu miezi kadhaa nyuma ?
Leo nimewakuta nimekuja na ambulance napita njia ya mwendokasi
Dah umenikumbusha Ibra dah inauma sanaHivi LEGE aliendaga wapi?
R.I.O IBRA
Kwa nyakati kama hizi mtu kama huyu ni muhimu kumkumbukaDah umenikumbusha Ibra dah inauma sana
MUNGU AMLAZE MAHALI PEMA PEPONI AMINA
AMA KWELIKwa nyakati kama hizi mtu kama huyu ni muhimu kumkumbuka
Happy new year broSamahani, nilikuwa nimebanwa na shughuli za sherehe zilizoambatana na majukumu kadhaa. Hata sikutakiwa kuwahudumia juma hili kabisa, ila nitavuta makasia kutenda jukumu hilo.