Anga la washenzi na Joana anaona kitu usiku

Samahani, nilikuwa nimebanwa na shughuli za sherehe zilizoambatana na majukumu kadhaa. Hata sikutakiwa kuwahudumia juma hili kabisa, ila nitavuta makasia kutenda jukumu hilo.

Tatizo umeshatulisha virusi, hatujiwezi bila kutupatia antidote, sasa wasiwasi ulitujaa baada ya sheng kuagiza antidote yote ikazikwe, hapo tukajua ndo mwisho wetu.
 
Say wooyoooowooooyooooooooo!!
Piga keeeleeeeleeeeee!! Mkuu wetu kaja hatimae [emoji2]
 
Mh Nina gundu nn?
Mbn nimewakimbiza kichizi BT naona pumzi zimewaisha mmecmama tena?
Ningejua ningeanza mbio mwezi ujao ili niwe mshindi mim
 
Mh Nina gundu nn?
Mbn nimewakimbiza kichizi BT naona pumzi zimewaisha mmecmama tena?
Ningejua ningeanza mbio mwezi ujao ili niwe mshindi mim

Mkuu ungenalizia mbio zako kwa hisia tu..yaani kama muvi la kichina vile mnadundana mapanga mkiona mpo droo mnaweka mapanga chini mnafunga macho mnapigana kwa mawazo hadi mmoja anadanja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…