RayB
JF-Expert Member
- Nov 27, 2009
- 2,751
- 200
Kumbe vanya kuIringa tuli vongefu ipa. Nde ni mnya kuIhimbo wilaya ya Kilolo, Neng'ino ndikuikala kuMbeya. Karibuni.
Naona Mtwivila kuleeeeeee au Kihesa Mafifi lol
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe vanya kuIringa tuli vongefu ipa. Nde ni mnya kuIhimbo wilaya ya Kilolo, Neng'ino ndikuikala kuMbeya. Karibuni.
Tumeona miji mingi kama Dar es Salaam jinsi nyumba zilivyosongamana bila mpangilio. Je umeona mpangilio wa mji huu wa IRINGA? Hebu uangalie.
IRINGA HIYO. Angalia maeneo mengine kwa ku-drag picha hiyo
Ndimnofu hela vahungilage mbevali huko ku Dar es Salaam.Mkuu GM7 Kamwene Mnogage? nakusalimia Mtani wangu mimi ni Mzaramo bwana huwezi kufananisha Mji na Jiji, hivi vitu Viwili tofauti kabisa Mji wa iringa na jiji la Dares-Salaaam Tofauti hata kama kwako ni iringa kutakuwa kuzuri vipi hakuwezi kufikia Jiji la Dares-salaam ukae ukijuwaa Mtani wangu wa Kihehehe Kamwene.
Ndimnofu hela vahungilage mbevali huko ku Dar es Salaam.
Iwe mji au jiji lakini tunachoangalia zaidi ni mpangilio wa nyumba kama ulivyoona Iringa, Tatizo la Bongo Ukitoka mlangoni kwako unaingia ****** kwa jirani japo si maeneo yote.
Kumbe vanya kuIringa tuli vongefu ipa. Nde ni mnya kuIhimbo wilaya ya Kilolo, Neng'ino ndikuikala kuMbeya. Karibuni.
We nangusage dhambi sako mwenyeweeeeeeeeeeeee
wewe miimi sikuelewi kabisa!Nguluvi tange kwiringa, tuletele ndonya, na fibwa fyetu ufitangage vidutuvage mwe, nambi we fidodo hela be!
..Usipoangalia kwa umakini utadhani ni vifaru vya jeshi vimepaki......Mwee!:bump:aliyewafundisha waha wahehe kujenga nyumba zinazofanana ninani? au zilijengwa na shirika/selikali/national housing? manake kila nikiona nyumba karibia zote zina vidoti katikati/kuna uwa katikati....inaonekana vizuri sana kusema kweli...
Mkuu GM7 Kamwene mambo yamebadilika mkuu kila wakati mambo yanazidi kubadilika mkuu usifananishe Mjini iringa kasoro bahari na Jiji la Dares-Salaam mkuu umesoma mpaka Darasa la ngapi? jiji la Dar lina kila kitu cha Historia ya Nchi yetu tofauti na mjini iringa kwa Wahehe na Wabena Upo na mimi mkuu GM7?
..Usipoangalia kwa umakini utadhani ni vifaru vya jeshi vimepaki......Mwee!:bump:
Angalia barabara kumi na mbili hapo kwa wasambaa ndo utapata uhondo mwingine wa tz.
Wikimapia - Let's describe the whole world!
Kumbe vanya kuIringa tuli vongefu ipa. Nde ni mnya kuIhimbo wilaya ya Kilolo, Neng'ino ndikuikala kuMbeya. Karibuni.
Sasa wekeni ya Arusha au Mbeya muone ujenzi wa pupa kwa pupa!
Tutafutieni ya Moshi, i think it is the best! Nice and tidy!!
Ena muyawe! na fingamba na fitofu fimemage mu migunda!:biggrin:
Tutafutieni ya Moshi, i think it is the best! Nice and tidy!!
mimi kwetu Ndiwili jirani yake marehemu Sekeni