Angalia cocacola inavyofanya kazi mwilini mwako what cola do to your body


Ahsante nitafanyia kazi hii kitu
 
Last edited by a moderator:
ahsante kwa thread hii sis watanzania ni wabish hata kama hatuelewi kitu, nawe unaebisha toa shule yako ya chemistry halafu tupe reference ulikosimamia.!!!!!
hapa lazima uwe na destur ya kusoma vitabu
 
Chanzo kwako ni nin? Unajua chanzo kina toka kwa watu kama mimi,wewe na hata aliyeileta hii thread?hii soda tangu kitambo nasikia inamadhara.Mie nikinywa meno yanapata ganzi kabisa.

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
baraka hapa sio church wala msikitin tunaruhusiwa kuuliza kama unahitaj ufaham
 
Kwenye biashara kuna Mapambano mengi.. kama VODACOM NA AIRTEL. . kila mtu anataka awe juu
 
Mkuu, ni kweli naipenda sana tu. Ila huwa naweka 2/3 Ice na 1/3 Cola. Mjanja mie 🙂
Mkuu unaipendea nini ?

Siyo utani, mie hela yangu ya shida maana ukulima wa Tumbaku na Asali umenishinda. Sasa nabangaiza bangaiza hapa Sikonge kituo cha Mabasi. Hela ndefu sina mwenzako.
Mkuu acha kutushusha,sisi watu wa sikonge (More,tutuo,mibono,ipole) tuna pesa ya kutosha kwa sababu tunajishughulisha na kilimo cha Tumbaku!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…