Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 7,672
- 9,039
HAPA NDIPO NILIPOMUOMBEA TRUMP ASHINDE URAIS WA MAREKANI ILI AWANYOOSHE WASHENZI KAMA HAWA WANAOFUJA FEDHA ZA NCHI ZAO NA KUTEGEMEA MISAADA YA MAREKANI.Katika mkutano wa COMESA, mke wa rais wa Burundi alifika kwa gari la kifahari aina ya limosine, jambo lililowashangaza wengi.
View: https://www.youtube.com/watch?v=XS4TEkbAsZ0
Na matumizi mabaya ya akili piaHayo ni matumizi mabaya ya madaraka, na pia kodi za wananchi.
Anatembelea gari yenye thamani ya vituko vya afya kadhaa halafu wewe huoni shida hapo. Hivi unaijua Burundi wew?Mnataka aenda na Vitz au?
Akili za kimaskini hizi kutembelea gari hilo kunarudishaje uchumi wa nchi?
Katika mkutano wa COMESA, mke wa rais wa Burundi alifika kwa gari la kifahari aina ya limosine, jambo lililowashangaza wengi.
View: https://www.youtube.com/watch?v=XS4TEkbAsZ0
Hayo ni matumizi mabaya ya madaraka, na pia kodi za wananchi.
Exactly.Na matumizi mabaya ya akili pia
Burundi ni nchi maskini (fukara) Sana, hakuna sababu hata Moja ya watawala wa nchi hiyo kuishi maisha ya anasa na ya kifahari namna hii.Mnataka aenda na Vitz au?
Akili za kimaskini hizi kutembelea gari hilo kunarudishaje uchumi wa nchi?
Walioshangaa wako wapi kwenye picha? Umenimalizia bando langu tu! KUMBAVU!!Katika mkutano wa COMESA, mke wa rais wa Burundi alifika kwa gari la kifahari aina ya limosine, jambo lililowashangaza wengi.
View: https://www.youtube.com/watch?v=XS4TEkbAsZ0
Hiyo h ya nini hapo?Kwanini hasipande Katarama au Allys
Ni nchi maskini sanaAnatembelea gari yenye thamani ya vituko vya afya kadhaa halafu wewe huoni shida hapo. Hivi unaijua Burundi wew?
Mwafrika hawezi kujitawala. Ubongo wake bado hauja-develop kiasi cha kushinda hisia zake. Muda wote anawaza kuhusu yeye. Huyu mama utakuta nchi yake raia wanakufa kwa kukosa dawa rahisi kabisa lakini yeye hajali. Samia anachukuwa dege kubwa anakwenda kuzura nalo kwa gharama kubwa huku kina mama wenzake hawana hata sehemu ya kujifungulia. Hajali.HAPA NDIPO NILIPOMUOMBEA TRUMP ASHINDE URAIS WA MAREKANI ILI AWANYOOSHE WASHENZI KAMA HAWA WANAOFUJA FEDHA ZA NCHI ZAO NA KUTEGEMEA MISAADA YA MAREKANI.
UKITEMBELEA GARI YA KAWAIDA HUWEZI KUFIKA?
Kumbe na wewe umeiona nilizani ni mm tuHiyo h ya nini hapo?
Kweli wewe zwazwa,hizo hela zilizonunua hilo gari amezitoa wapi kama sio kufuja hela za nchi.Mnataka aenda na Vitz au?
Akili za kimaskini hizi kutembelea gari hilo kunarudishaje uchumi wa nchi?
Du!Na matumizi mabaya ya akili pia
Kila mtu ashinde mechi zake izo ni shida zenu sio shida zake
We ni,saswa na,binti ,zuzu mwingine kwaiyo unaona izo alizoshinda ni,mechi zake? yaani nyie watoto wa,kike akili zenu ni,kama..........basi,tu kuna,mwingine yupo huko naye nikama,wewe,tuKila mtu ashinde mechi zake izo ni shida zenu sio shida zake