Angalia hukumu za hawa wanawake na kinachoendelea bungeni

Angalia hukumu za hawa wanawake na kinachoendelea bungeni

Mshuza2

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2010
Posts
11,261
Reaction score
17,202
20231105_080338.jpg
20231105_080335.jpg

Nina imani wanawake hawa ukute waliachiwa jukumu kubwa la kulea familia baada ya kutelekezwa..
Ugumu wa maisha ulipelekea wafanye haya,mimi sio mbobevu kwenye sheria lakini hivi wezi wanaoiba matirion bado wanadunda lakini wananchi hawa masikini wanahukumiwa vifungo vya kikatili kama hivi.Tujadili.
 
View attachment 2804260View attachment 2804261
Nina imani wanawake hawa ukute waliachiwa jukumu kubwa la kulea familia baada ya kutelekezwa..
Ugumu wa maisha ulipelekea wafanye haya,mimi sio mbobevu kwenye sheria lakini hivi wezi wanaoiba matirion bado wanadunda lakini wananchi hawa masikini wanahukumiwa vifungo vya kikatili kama hivi.Tujadili.
...Miaka 20 Kwa kukutwa na Kilo 10 za Bangi ?? Miaka 20 ?? [emoji45] Kuna Kitu hakiko Sawa kama Nchi... !!!
 
Nija maoni tofauti kidogo mkuu. Iko hivi kisheria ukifanya kosa wewe hapo unahukumiwa sawa sawa na kosa ulilofanya sasa usianze kusema sijuii kina mama wameachiwa familia waleee ndo maana wanauza bangi hapana kwann hawajauza vitumbua,maandazi,genge,mahindi ya kuchemsha/kuchoma, mama ntilie,nk?
Hoja nyingne kinachoendelea bungeni hakiwezi kuhalalisha mtu mwingne kuvunja sheria jamani ifike wakati tutii sheria bila kuangalia nani kavunja sheria kwa nafasi yake.
Labda kama hao watu wamesingiziwa hiyo itakuwa hoja nyingne ahsanye.
 
View attachment 2804260View attachment 2804261
Nina imani wanawake hawa ukute waliachiwa jukumu kubwa la kulea familia baada ya kutelekezwa..
Ugumu wa maisha ulipelekea wafanye haya,mimi sio mbobevu kwenye sheria lakini hivi wezi wanaoiba matirion bado wanadunda lakini wananchi hawa masikini wanahukumiwa vifungo vya kikatili kama hivi.Tujadili.
Mwanamke wa Kimujahadeen kawa muuza bangi tena. kulikoni?
 
View attachment 2804260View attachment 2804261
Nina imani wanawake hawa ukute waliachiwa jukumu kubwa la kulea familia baada ya kutelekezwa..
Ugumu wa maisha ulipelekea wafanye haya,mimi sio mbobevu kwenye sheria lakini hivi wezi wanaoiba matirion bado wanadunda lakini wananchi hawa masikini wanahukumiwa vifungo vya kikatili kama hivi.Tujadili.
waombe rufaa watashinda kesi hizo za michongo
 
Back
Top Bottom