Angalia hukumu za hawa wanawake na kinachoendelea bungeni

Angalia hukumu za hawa wanawake na kinachoendelea bungeni

View attachment 2804260View attachment 2804261
Nina imani wanawake hawa ukute waliachiwa jukumu kubwa la kulea familia baada ya kutelekezwa..
Ugumu wa maisha ulipelekea wafanye haya,mimi sio mbobevu kwenye sheria lakini hivi wezi wanaoiba matirion bado wanadunda lakini wananchi hawa masikini wanahukumiwa vifungo vya kikatili kama hivi.Tujadili.
unachoshangaa hapo ni nini, we ndio uliwatuma kufanya hayo makosa? Au nani kawatuma? Hizo hukumu ni kwa mujibu wa sheria, au ulitaka watumie nini kuwatia hatiani. Tumia akili badala ya makalio kufikiri
 
View attachment 2804260View attachment 2804261
Nina imani wanawake hawa ukute waliachiwa jukumu kubwa la kulea familia baada ya kutelekezwa..
Ugumu wa maisha ulipelekea wafanye haya,mimi sio mbobevu kwenye sheria lakini hivi wezi wanaoiba matirion bado wanadunda lakini wananchi hawa masikini wanahukumiwa vifungo vya kikatili kama hivi.Tujadili.
Hakuna sheria ya maskini wala tajiri wse kenge, ile enzi yenu ya hawa wanyonge imeshapita. we km unajijua huna hela ya kumhonga hakimu ulithubutu vipi kutenda kosa? Au ndio walitegemea kujificha kwenye ugumu wa maisha? Acha upumbavu kijana tii sheria bila kutegemea hali yako kuja kujitete. Kwa hiyo wangekuibia wewe halafu wakuambia ni kwasababu ya umaskini wao ungewaelewa?
 
Kosa ni kosa, hakuna kosa linalohalalisha kosa lingine.
Nilidhani utakuja na hoja ya kuonewa kwamba hawakuwa na hatia, ila kama wamekutwa na hatia kifungo ni haki yao.
 
Bado hamjasema.

Ni hadi siku mtakayoambiwa muandamane mkakubali ndio mtaelewa maana yake. Sasa hivi si bado mnaamini jukumu la kuleta mabadiliko ni la kina Mdude Nyagali ila sisi wengine tunazipenda saaaaaaaana familia zetu
wapumbavu ni wapumbavu mpaka Yesu anarudi, Mdude ni kichaa kwanza ujue hilo, pili wanatetea uovu siyo? Hao wamevunja sheria za nchi, hayo vichaa wako wanatetea uvunjifu wa sheria? Kwanza washukuru tuna rais mstaarabu. Huyo mnamwita mdude nimemsikiliza anavyomtishia OCD nilimsikitikia, ila najua hatafika mbali labda wawahi kumtibu
 
View attachment 2804260View attachment 2804261
Nina imani wanawake hawa ukute waliachiwa jukumu kubwa la kulea familia baada ya kutelekezwa..
Ugumu wa maisha ulipelekea wafanye haya,mimi sio mbobevu kwenye sheria lakini hivi wezi wanaoiba matirion bado wanadunda lakini wananchi hawa masikini wanahukumiwa vifungo vya kikatili kama hivi.Tujadili.
Mahakama za nchi yetu zimeundwa kwa ajili ya kuwashughulikia watu masikini tu na wale watumishi wa umma wa ngazi za chini.

Ni aghalabu kusikia majangili sugu, mafisadi, wala rushwa wakubwa, mabosi wa madawa ya kulevya, wapiga dili serikalini, wabadhirifu wa mali za umma, na vigogo wa ngazi za juu wakifungwa kutokana na makosa waliyofanya.
 
Siku mtaona watu wamehukumiwa kama hivyo kwa kuiba mabilioni ya hela za miradi ndio mtajua haki inatendeka nchini
Bila hivyo, ni uonezi tu
Kweli bangi unamfunga miaka 20 wakati majizi yamejaa yakipiga madili huku yakinunua suti za 1.2m
 
View attachment 2804260View attachment 2804261
Nina imani wanawake hawa ukute waliachiwa jukumu kubwa la kulea familia baada ya kutelekezwa..
Ugumu wa maisha ulipelekea wafanye haya,mimi sio mbobevu kwenye sheria lakini hivi wezi wanaoiba matirion bado wanadunda lakini wananchi hawa masikini wanahukumiwa vifungo vya kikatili kama hivi.Tujadili.
TOa taarifa zao sahihi tuwapatie wanasheria wakate rufaa
 
View attachment 2804260View attachment 2804261
Nina imani wanawake hawa ukute waliachiwa jukumu kubwa la kulea familia baada ya kutelekezwa..
Ugumu wa maisha ulipelekea wafanye haya,mimi sio mbobevu kwenye sheria lakini hivi wezi wanaoiba matirion bado wanadunda lakini wananchi hawa masikini wanahukumiwa vifungo vya kikatili kama hivi.Tujadili.
CCM NI MAJAMBAZI

Mahakama ya hakimu mkazi mkoa wa Iringa imemuhukumu kifungo cha miaka 22 Jela Maria Ngoda mkazi wa mtaa wa zizi la ng'ombe uliopo manispaa na mkoa wa Iringa baada ya kumkuta na hatia ya kukutwa na ndoo yenye vipande 12 vya nyama ya swala kinyume na sheria.

Hukumu hii imetolewa na hakimu mkazi mkuu mkoa wa Iringa Said Mkasiwa baada ya kujiridhisha pasi na shaka kuwa ni kweli mtuhumiwa alikutwa na ndoo iliyokuwa na nyama hiyo ya swala yenye vipande 12 ndani yake vyenye thamani ya Tsh. laki Tisa (900,000)

Mkasiwa amesema kosa hilo ni kinyume na kifungu cha 86 (1) (2) (c) cha sheria ya uhifadhi wa wanyamapori namba tano ya mwaka 2009 kama ilivyofanyiwa marekebisho na kifungu cha 59 (a) (b) cha mabadiliko ya sheria ya mwaka 2016.

Kwamujibu wa ushahidi uliotolewa unaeleza kuwa siku ya tukio mtuhumiwa alikutwa na ndoo hiyo yenye vipande 12 vya Swala aliyokuwa akiiuza Karibu na nyumba yake.

Hivyo nyama hiyo ikafikishwa kwa mtambuzi na kubaini ni kweli ilikuwa ni nyama ya Swala na baada ya Tathmini gharama yake ikafika tsh. 900,000.

Kwa upande wake Mtuhumiwa wakati akijitetea alikiri ni kweli alikutwa na ndoo hiyo ambayo alidai alikabidhiwa na mtu aliyemtambua kwa jina la Fute na awali hakujua inanyama ya nini ndani yake.

"Mheshimiwa ni kweli siku ya tukio nilikuwa kata ya Isakalilo na Mama Ziada nikiuza nyama kwenye ndoo sikujua ni nyama ya nini kulikuwa na vipande 13, kimoja akaondoka nacho yeye baada ya muda mwenyekiti wa mtaa akaja na askari wakaniweka chini ya ulinzi wakisema nauza nyama pori mimi nikasema hii ndoo si yangu ni ya Fute wakaniweka kwenye gari hadi kwa huyo Fute" alisema mtuhumiwa

Maria aliendelea kujitetea kuwa baada yakufikishwa kwahuyo mtu licha ya kumtaja na kumtambua mtuhumiwa uongozi ulimlazimisha abebe ndoo hiyo na kufikishwa kituoni na kufunguliwa kesi ya kukutwa na nyara za serikali sambamba na kosa la uhujumu uchumi.

Kesi hii ilisimamiwa na muendesha mashtaka upande wa jamhuri Simon Masinga ambaye aliiomba mahakama itoe adhabu kali kwa Mtuhumiwa ili iwe fundisho kwake.

"Mheshimiwa hifadhi zetu za taifa zinategemea sana wanyama kama swala kuvutia utalii na unachangia pato la taifa hivyo kosa lina athiri uchumi wa taifa hivyo apewe adhabu kali ili iwe fundisho kwake na wengine wanaotarajia kufanya kosa kama hilo" alisema Masinga muendesha mashtaka upande wa jamuhuri.

Hivyo baada ya kusikiliza pande zote mbili ndipo mahakama ikamkuta na hatia na ikamuhukumu kifungo cha miaka 22 Jela.

Hata hivyo hukumu hii imeibua hisia Mseto kwa wadau na wanasheria baadhi kutokana na jinsi shauri lilivyo endeshwa kwani mtuhumiwa hakupata uwakilishi wa kumtetea kipindi chote cha kesi yake hivyo baadhi ya mawakili wamejitolea kukata rufaa na kumsaidia mtuhumiwa katika kesi hii.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
CCM NI MAJAMBAZI

Mahakama ya hakimu mkazi mkoa wa Iringa imemuhukumu kifungo cha miaka 22 Jela Maria Ngoda mkazi wa mtaa wa zizi la ng'ombe uliopo manispaa na mkoa wa Iringa baada ya kumkuta na hatia ya kukutwa na ndoo yenye vipande 12 vya nyama ya swala kinyume na sheria.

Hukumu hii imetolewa na hakimu mkazi mkuu mkoa wa Iringa Said Mkasiwa baada ya kujiridhisha pasi na shaka kuwa ni kweli mtuhumiwa alikutwa na ndoo iliyokuwa na nyama hiyo ya swala yenye vipande 12 ndani yake vyenye thamani ya Tsh. laki Tisa (900,000)

Mkasiwa amesema kosa hilo ni kinyume na kifungu cha 86 (1) (2) (c) cha sheria ya uhifadhi wa wanyamapori namba tano ya mwaka 2009 kama ilivyofanyiwa marekebisho na kifungu cha 59 (a) (b) cha mabadiliko ya sheria ya mwaka 2016.

Kwamujibu wa ushahidi uliotolewa unaeleza kuwa siku ya tukio mtuhumiwa alikutwa na ndoo hiyo yenye vipande 12 vya Swala aliyokuwa akiiuza Karibu na nyumba yake.

Hivyo nyama hiyo ikafikishwa kwa mtambuzi na kubaini ni kweli ilikuwa ni nyama ya Swala na baada ya Tathmini gharama yake ikafika tsh. 900,000.

Kwa upande wake Mtuhumiwa wakati akijitetea alikiri ni kweli alikutwa na ndoo hiyo ambayo alidai alikabidhiwa na mtu aliyemtambua kwa jina la Fute na awali hakujua inanyama ya nini ndani yake.

"Mheshimiwa ni kweli siku ya tukio nilikuwa kata ya Isakalilo na Mama Ziada nikiuza nyama kwenye ndoo sikujua ni nyama ya nini kulikuwa na vipande 13, kimoja akaondoka nacho yeye baada ya muda mwenyekiti wa mtaa akaja na askari wakaniweka chini ya ulinzi wakisema nauza nyama pori mimi nikasema hii ndoo si yangu ni ya Fute wakaniweka kwenye gari hadi kwa huyo Fute" alisema mtuhumiwa

Maria aliendelea kujitetea kuwa baada yakufikishwa kwahuyo mtu licha ya kumtaja na kumtambua mtuhumiwa uongozi ulimlazimisha abebe ndoo hiyo na kufikishwa kituoni na kufunguliwa kesi ya kukutwa na nyara za serikali sambamba na kosa la uhujumu uchumi.

Kesi hii ilisimamiwa na muendesha mashtaka upande wa jamhuri Simon Masinga ambaye aliiomba mahakama itoe adhabu kali kwa Mtuhumiwa ili iwe fundisho kwake.

"Mheshimiwa hifadhi zetu za taifa zinategemea sana wanyama kama swala kuvutia utalii na unachangia pato la taifa hivyo kosa lina athiri uchumi wa taifa hivyo apewe adhabu kali ili iwe fundisho kwake na wengine wanaotarajia kufanya kosa kama hilo" alisema Masinga muendesha mashtaka upande wa jamuhuri.

Hivyo baada ya kusikiliza pande zote mbili ndipo mahakama ikamkuta na hatia na ikamuhukumu kifungo cha miaka 22 Jela.

Hata hivyo hukumu hii imeibua hisia Mseto kwa wadau na wanasheria baadhi kutokana na jinsi shauri lilivyo endeshwa kwani mtuhumiwa hakupata uwakilishi wa kumtetea kipindi chote cha kesi yake hivyo baadhi ya mawakili wamejitolea kukata rufaa na kumsaidia mtuhumiwa katika kesi hii.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hats off...🙌🙌
 
Mwanamke atafanya chochote familia yake iishi
Daaahhh...... sawa mkuu tuishie hapa ila wapo waliofungwwa Kwa wizi WA mahindi shambani wakailishe familia mke akiwemo na wakatoka mke kaolewa.
 
View attachment 2804260View attachment 2804261
Nina imani wanawake hawa ukute waliachiwa jukumu kubwa la kulea familia baada ya kutelekezwa..
Ugumu wa maisha ulipelekea wafanye haya,mimi sio mbobevu kwenye sheria lakini hivi wezi wanaoiba matirion bado wanadunda lakini wananchi hawa masikini wanahukumiwa vifungo vya kikatili kama hivi.Tujadili.
Mtego wa buibui hunasa inzi siyo tembo.
 
Kukutwa tu na nyama ya swala, ambaye kivyovyote vile angeliwa na predators wa huko mbugani, kunampeleka huyo mama jela miaka 22.

Mungu aliwaumba wanyama wote akasema tuwatawale, sio watutawale kwa kuwapeleka wazazi wetu jela kisa nyama ya swala
 
Back
Top Bottom