Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Defeatist ideasNgozi nyeupe ni tofauti na nyeusi
Mkuu tusikimbie ukweli,wenzetu wana hisia kali sana kwenye mahusiano lakini huku kwetu hisia ni biasharaDefeatist ideas
Sawa....haiondoi ukweli kuwa hizo ni defeatist ideasMkuu tusikimbie ukweli,wenzetu wana hisia kali sana kwenye mahusiano lakini huku kwetu hisia ni biashara
Wanawake wengi wanataka wanaume ambao tayari wana kila kitu ili waweze kuingia ndani na kuwa na maisha rahisi, lakini angalia huyu mwanamke.
Na wote tuseme Ameeeen!Tusilaumu sana wanawake.
Hakuna binadamu anayependa shida.
Dada wa watu anaweza kukuvumilia na usitoke vile vile.
Na hata kama ukitoka unaweza kumtosa dada wa watu au 'kumpiga matukio' maana sote ni binadamu na mifano ipo.
Ishtoshe sidhani kama kuna mtu yeyote anayependa dada yake aolewe na mtu kapuku na asiye eleweka.
Tusilaumu sana wanawake.
Hakuna binadamu anayependa shida.
Dada wa watu anaweza kukuvumilia na usitoke vile vile.
Na hata kama ukitoka unaweza kumtosa dada wa watu au 'kumpiga matukio' maana sote ni binadamu na mifano ipo.
Ishtoshe sidhani kama kuna mtu yeyote anayependa dada yake aolewe na mtu kapuku na asiye eleweka.
Jamaa ameongea ukweli wee unasema defeatist ideas.Defeatist ideas
Huyo anekubali kuolewa na kapuku basi ujeu hana chura au hana sura hahahahabahIla wanaume wa jf mnapenda kukuza mambo. Wangapi mlioa mkiwa matajiri?
Huku mtaani tunaona makapuku ndio kila siku wanafunga ndoa, kwani wanafunga na wanaume wenzenu hadi mshangae hilo?
Wengi mmeoa mkiwa nyumba za kupanga, tena wengine chumba kimoja tu. Ila mkiwa mitandaoni mnajifanya hakuna mwanamke anaekubali kuolewa na kapuku.[emoji134][emoji134][emoji134]
Ukweli?!?! Ok...lakini hizo zinabaki kuwa ni defeatist ideas....more to that ni kwamba black race ndiyo future race ya planet hii.... This will happen between.350-500 years from nowJamaa ameongea ukweli wee unasema defeatist ideas.
Acha kukariri, mabinti wazuriii na wamejaaliwa kabisa na Muumba. Mwingine hadi watu wa pembeni walokariri kama wewe ndio wanamshangaa inakuwaje aolewe na kapuku wakati mzuri hivyo!!Huyo anekubali kuolewa na kapuku basi ujeu hana chura au hana sura hahahahabah
Defeatist ideas
Ukweli?!?! Ok...lakini hizo zinabaki kuwa ni defeatist ideas...
Acha zako wewe mwanamke mzuri na chura juu akaolewe na kapuku hio mie nataka niione. Mzuri namba moja wa tz aliolewa na bionea mbona hakuchukuliwa na kapukuAcha kukariri, mabinti wazuriii na wamejaaliwa kabisa na Muumba. Mwingine hadi watu wa pembeni walokariri kama wewe ndio wanamshangaa inakuwaje aolewe na kapuku wakati mzuri hivyo!!