Sio kweli ni 3% tu ya ngano ya Ukuraini ndo inao letwa Africa, UN na US wanatumia Africa kama negotiation plan ila ngano nyingi ya Ukraine inaenda uarabuni na Uerope sio Africa......
Sio kweli ni 3% tu ya ngano ya Ukuraini ndo inao letwa Africa, UN na US wanatumia Africa kama negotiation plan ila ngano nyingi ya Ukraine inaenda uarabuni na Uerope sio Africa......
Na hata anachojaribu kusema kingekuwa kweli, ingekuwa kwa sababu ya ushenzi wa uongozi mbovu wa Africa. Dubai jangwani wanalima ngano inakuwaje AFRICA!?